Kiswahili ni lugha adhimu

Seneta Wa Mtwiz

JF-Expert Member
Sep 23, 2013
3,601
4,086
0d8afeab892b1bcffdfc10c71096146e.jpg
 
Sielewi maana ya Adhimu hata wazazi wangu hawaelewi. Ila siyo Lugha ya Science na Technology. Huwezi kuwa mwanasayansi kwa Kiswahili kamwe. Huwezi kutengeneza Space Craft kwa Kiswahili, huwezi kuvumbua Gas kwa Kiswahili. Huwezi kutibu mgonjwa wa moyo kwa Kiswahili
 
Pia kuna hii:
Enzi zile wanaTANU walikisifia na kukipongeza chama chao kwa kuleta uhuru.Wakaanza kuwaza: kama TANU haingekuwepo wangeendelea kuwa watumwa wa mkoloni. Hivyo, wakaandika kwenye mabango: KAMA SI TANU TUNGEKUWA WAPI?
Kwa haraka iko hivi: KAMASI TANU TUNGEKUWA WAPI?
 
Back
Top Bottom