A: UPO UPO? upo kwa muda kidogo (muda si mrefu utaondoka)
B: UPO? Je upo kwa muda usiokadiriwa( kikomo cha uwepo hakipo bayana) yaweza kuwa siku, mwezi, Mwaka, miaka n.k
Naelewa kuwa A. Aliposema upo' upo? Upo ya kwanza ni kifaa fulani ambacho anakiulizia kwa neno lake la pili pale aliposema Upo?
Na B alikua anajibu kuwepa kwa kifaa hicho pale aliposema kuwa Upo''
Naelewa kuwa A. Aliposema upo' upo? Upo ya kwanza ni kifaa fulani ambacho anakiulizia kwa neno lake la pili pale aliposema Upo?
Na B alikua anajibu kuwepa kwa kifaa hicho pale aliposema kuwa Upo''
uko sawa mkuu,"UPO"ni kitu chochote ambacho hutumiwa na vyombo vya baharini ukiachilia mbali meli na boti za kisasa,ambacho hutumika kutolea maji yaliyo ndani ya ama mtumbwi,dau au ngalawa na kuyamwaga nje.