Kisumu vs Mwanza

This must be the biggest mall in Tanzania

Ushaona ushamba yao sasa...they think anything that is big in their dingy towns is the biggest in the world...aliyewaroga lazima alikufa zama zile
 
Sasa wewe unaleta link ya Oxford na kila siku humu mnaandika subutu,embu ?
Wanajikana leo...
Hilo neno kw battle ya dar wanapenda kulitumia sana...

Nakumbuka geza alijaribu kunirekebisha, mara kule kw battle ichoboy akalitumia, geza akabaki kumuuliza km ni thubutu au subutu...
Jibu alilopata aliambiwa ni subutu..nilicheka sana
 
Nashangaa maana Leo wamejifanya kukijua kiswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…