mohame kholani
Senior Member
- Jan 1, 2018
- 144
- 103
- Thread starter
- #41
Angalia hiyo 75,000FB piga kwa rate ya 14,000FB inakuja pesa ngapi ya Tsh?
Wanaonyesha ufc live?Search Canal+ makao makuu burundi huko Telegram utajiunga hutojutia, ukijiridhisha nunua
View attachment 1885627
Ligi zote kubwa na maarufu unazozijua weweWanaonyesha ufc live?
Bwawa limeingia rubaHizo kauli za kike mwamba acha kabisa hiyo michezo
Mbona kifurushi tunalipa kwa 42,000 tu
Kuna zile ngumi za ufc wakina israel adesanya na mbio za formula 1 zenyewe wanaonyesha?Ligi zote kubwa na maarufu unazozijua wewe
Search Canal+ makao makuu burundi huko Telegram utajiunga hutojutia, ukijiridhisha nunua
View attachment 1885627
Mbona siwapati telegramMkuu tupia link ya kujiunga huko telegram
Mkuu nahitaji decoder, nakuchek haunijibu. Nipitafutr tuyajenge mkuu 0744670172Angalia hiyo 75,000FB piga kwa rate ya 14,000FB inakuja pesa ngapi ya Tsh? View attachment 1885667
Search Canal+ makao makuu burundi huko Telegram utajiunga hutojutia, ukijiridhisha nunua
View attachment 1885627
Huoni unaibia sirikale,Sio harafu ni halafu!Canal hawana ofisi sehemu yoyote hapa Tz na kisimbuzi chao hakijasajiriwa na mamlaka (TCRA) hapa Tz hivyo kinatumika tu kwa kuwa kipo nchi jiran za Rwanda, Burundi na DRC na mawasiliano yake yanafika Tz (wenyewe wataalam wanaita beam kitu kama vile)
Harafu lugha rasmi ya chanel za kisimbuzi hiki ni Kifaransa na hakina option ya kubadili lugha, pia kwa kuwa hakipo Tz (yaani hakijasajiriwa TCRA) malipo yake yapo kwa franca fedha hii inatumika DRC, Burundi na Rwanda hivyo ukitaka kulipia ni mpaka upate connection ya mtu wa nchi hizo kisha umtumie pesa akulipie akiwa huko, hapa kuna shida kidogo ikitokea kifurushi kimekata harafu unaemtumia kukununulia hapatikani at the moment
Ila kwa ujumla kisimbuzi kipo vizuri ukicompare pesa na idadi ya ligi wanazoonesha yaanikwa elfu 40 na kitu unatizama karibu ligi zote kubwa duniani, wakati Dstv kwa elfu 69 hata UEFA champions league huipati
Daaah, mnawavunja moyo watu. Bei ya canal+ kifurushi ambacho unaweza kunagalia soccer mechi zote wanazorusha ni 37k tu ya Kibongo. Kama mnataka cha juu fanyeni hata 45 siyo 55 yote!bei ni decoder ni Tsh.135,000
malipo kwa mwezi ni Tsh.55,000 mechi zote hapo league zote kubwa duniani UEFA,EPL,BUNDASILIGA,ITALY,FRANCE LEAGUE,LA LIGA.
Huu ni wizi mkuu, hata kama unafanya biashara si namna hii. King'amuzi kule Burundi kinauzwa tsh. 47k na kifurushi unachoweza kuangalia soccer ni 37k tu mbona mnataka kupata faida kubwa kiasi hicho!!!??? Msiwavunje moyo watu.Tsh.135,000 ni decoder
Tsh.55,000 ni kufungua uwanze kuona channel
Total ni Tsh.185,000 unaanza kuona channel kabisa.
Ukitaka decoder tu Tsh.100,000 Tsh.55,000 kufungua decoder kwa mwezi yaani ndio malipo kwa mwezi hapo hiyo Tsh.55,000 channel zote za mpira unapata.
Nisaidie link ya group mkuu, natanguliza shukraniMimi sio wakala wala siuzi ila ni mtumiaji mzuri wa Canal na nipo kwenye group la Canal huko telegram, hivyo jamaa wanakutumia mzigo popote ulipo Tanzania
Yeye kwa mwezi anataka sh ngapiumeelezea vzry sanaa mimi nipo Tanzania na burundi nawatu wang wakala wa kule nawasiliana naye mda wowote niwatoe hofu
Tupe mawasiliano ya huyu wakala wa Tsh 37k kwa mweziHuu ni wizi mkuu, hata kama unafanya biashara si namna hii. King'amuzi kule Burundi kinauzwa tsh. 47k na kifurushi unachoweza kuangalia soccer ni 37k tu mbona mnataka kupata faida kubwa kiasi hicho!!!??? Msiwavunje moyo watu.
Naomba link ya hiyo chanel telegram chiefMimi sio wakala wala siuzi ila ni mtumiaji mzuri wa Canal na nipo kwenye group la Canal huko telegram, hivyo jamaa wanakutumia mzigo popote ulipo Tanzania
Group ni private mpk uwe mdau ndio unaungwa mkuu na admin yaani halina linkNaomba link ya hiyo chanel telegram chief