INAUZWA Kisimbuzi cha Canal Plus

Angalia hiyo 75,000FB piga kwa rate ya 14,000FB inakuja pesa ngapi ya Tsh?
JamiiForums1639186185.jpg
 
Canal hawana ofisi sehemu yoyote hapa Tz na kisimbuzi chao hakijasajiriwa na mamlaka (TCRA) hapa Tz hivyo kinatumika tu kwa kuwa kipo nchi jiran za Rwanda, Burundi na DRC na mawasiliano yake yanafika Tz (wenyewe wataalam wanaita beam kitu kama vile)

Harafu lugha rasmi ya chanel za kisimbuzi hiki ni Kifaransa na hakina option ya kubadili lugha, pia kwa kuwa hakipo Tz (yaani hakijasajiriwa TCRA) malipo yake yapo kwa franca fedha hii inatumika DRC, Burundi na Rwanda hivyo ukitaka kulipia ni mpaka upate connection ya mtu wa nchi hizo kisha umtumie pesa akulipie akiwa huko, hapa kuna shida kidogo ikitokea kifurushi kimekata harafu unaemtumia kukununulia hapatikani at the moment

Ila kwa ujumla kisimbuzi kipo vizuri ukicompare pesa na idadi ya ligi wanazoonesha yaanikwa elfu 40 na kitu unatizama karibu ligi zote kubwa duniani, wakati Dstv kwa elfu 69 hata UEFA champions league huipati
Huoni unaibia sirikale,Sio harafu ni halafu!
 
bei ni decoder ni Tsh.135,000
malipo kwa mwezi ni Tsh.55,000 mechi zote hapo league zote kubwa duniani UEFA,EPL,BUNDASILIGA,ITALY,FRANCE LEAGUE,LA LIGA.
Daaah, mnawavunja moyo watu. Bei ya canal+ kifurushi ambacho unaweza kunagalia soccer mechi zote wanazorusha ni 37k tu ya Kibongo. Kama mnataka cha juu fanyeni hata 45 siyo 55 yote!
 
Tsh.135,000 ni decoder
Tsh.55,000 ni kufungua uwanze kuona channel
Total ni Tsh.185,000 unaanza kuona channel kabisa.
Ukitaka decoder tu Tsh.100,000 Tsh.55,000 kufungua decoder kwa mwezi yaani ndio malipo kwa mwezi hapo hiyo Tsh.55,000 channel zote za mpira unapata.
Huu ni wizi mkuu, hata kama unafanya biashara si namna hii. King'amuzi kule Burundi kinauzwa tsh. 47k na kifurushi unachoweza kuangalia soccer ni 37k tu mbona mnataka kupata faida kubwa kiasi hicho!!!??? Msiwavunje moyo watu.
 
Huu ni wizi mkuu, hata kama unafanya biashara si namna hii. King'amuzi kule Burundi kinauzwa tsh. 47k na kifurushi unachoweza kuangalia soccer ni 37k tu mbona mnataka kupata faida kubwa kiasi hicho!!!??? Msiwavunje moyo watu.
Tupe mawasiliano ya huyu wakala wa Tsh 37k kwa mwezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom