wewe ndo unaweza kutupa jibu kama ni dume au jike
manake kuna mawili,aidha ushawahi kudhihirisha ujike wake na ushawahi pia kudhihirisha udume wake!
yani two at ago!
sawa'aaaaaaaaaaah!!!!
SO TUAMBIE!
kweli jf kuna viroja, sasa mtu kama huyu anajulikana alafu anauliza! MziziMkavu umenikumbusha uzi mmoja uko hapa hapa unasema 'huyu ni ntu dume ntu jike" :-\