Kisheria Lema anaweza kutorokea nchi nyingine

Kisheria Lema anaweza kutorokea nchi nyingine

Hivi jamaan ni udhalim gan anaopambana nao lema?mbona tunajitoa ufaham nakua wajinga tusiokua naakili?lema amekua mbunge kwa miaka mingap hapa arusha naomba mnambie niishu gan yenye msingi aliyowahi kupambania kwa wananchi mpaka mmuhangaikie namna hiyo nawaswas naakili zenu maana huku arusha wala viroba na bange ndo wafuas wake
 
Hivi jamaan ni udhalim gan anaopambana nao lema?mbona tunajitoa ufaham nakua wajinga tusiokua naakili?lema amekua mbunge kwa miaka mingap hapa arusha naomba mnambie niishu gan yenye msingi aliyowahi kupambania kwa wananchi mpaka mmuhangaikie namna hiyo nawaswas naakili zenu maana huku arusha wala viroba na bange ndo wafuas wake
Ben saa nane yuko wapi ,Alphonce Mawazo yuko wapi kwani wao walifanya nini na kwa nini hawapo ?
 
Unaweza kuniuliza kwann amekua mbunge? Jibu nikwamba,,,ss tunaipa chadema kura nasio lema ila kama ataendelea naujinga huu anaoufanya bas historia itabadilika muda sii mrefu arusha maana ni ujinga ujinga unaofanywa na huyu mpumbavu.watu waliuawa kwenye maandamano tukasema leo hii nan anawazungumzia tukasema tunanynyaswa kwasababu halimashaur sio yetu tumemuwekea madiwan 25 kwa mmoja wa ccm anaenda jukwaan anatukana badala yakushirikiana na ss wananchi kuleta maendeleo huyu sinimpumbavu? Habar ya rais anakufa kwa yy kuota nimaneno kwel hayo yakuleta kwenye mkutano wa kutatua matatizo ya wananchi?
 
Hivi jamaan ni udhalim gan anaopambana nao lema?mbona tunajitoa ufaham nakua wajinga tusiokua naakili?lema amekua mbunge kwa miaka mingap hapa arusha naomba mnambie niishu gan yenye msingi aliyowahi kupambania kwa wananchi mpaka mmuhangaikie namna hiyo nawaswas naakili zenu maana huku arusha wala viroba na bange ndo wafuas wake
Na wao ni watanzania wanahaki yakuwa wafuasi
 
Tz pamoja na mambo yake yote serekali haijafikia kuwafanya wapinzani wakimbie nchi ukiachilia hivi vitu vidogo dogo vinavyoonekana kukandamiza demokrasia lakini uhuru mkubwa bado tunao wapinzani ambako huwez ufananisha na nchi zengine za kiafrica ...tatizo letu laweza kuwa kwenye kuvuka mipaka ya uhuru tulonao ndiko kunapopelekea tuone tunaonewa.tuacheni blah blah tusukumeni gurudumu la maendeleo Mbele tutimizeni Yale mlotuhaidi wananchi kuyafanya tukawanyima Kura lumumba tukawapa nyie.tunahitaji maendeleo sio kushindana na chama tawala kwenye vyombo vya habari huko sio kuimarisha upinzani upinzani utaimarishwa na maendeleo
 
Unaweza kuniuliza kwann amekua mbunge? Jibu nikwamba,,,ss tunaipa chadema kura nasio lema ila kama ataendelea naujinga huu anaoufanya bas historia itabadilika muda sii mrefu arusha maana ni ujinga ujinga unaofanywa na huyu mpumbavu.watu waliuawa kwenye maandamano tukasema leo hii nan anawazungumzia tukasema tunanynyaswa kwasababu halimashaur sio yetu tumemuwekea madiwan 25 kwa mmoja wa ccm anaenda jukwaan anatukana badala yakushirikiana na ss wananchi kuleta maendeleo huyu sinimpumbavu? Habar ya rais anakufa kwa yy kuota nimaneno kwel hayo yakuleta kwenye mkutano wa kutatua matatizo ya wananchi?
Tuwekee hayo matusi ni matusi gani? Alafu hata Kama ni matusi mpaka ithibitishe ni matusi,suala lililopo hapa kuwa kesi ya matusi haina dhamana ?
 
Tz pamoja na mambo yake yote serekali haijafikia kuwafanya wapinzani wakimbie nchi ukiachilia hivi vitu vidogo dogo vinavyoonekana kukandamiza demokrasia lakini uhuru mkubwa bado tunao wapinzani ambako huwez ufananisha na nchi zengine za kiafrica ...tatizo letu laweza kuwa kwenye kuvuka mipaka ya uhuru tulonao ndiko kunapopelekea tuone tunaonewa.tuacheni blah blah tusukumeni gurudumu la maendeleo Mbele tutimizeni Yale mlotuhaidi wananchi kuyafanya tukawanyima Kura lumumba tukawapa nyie.tunahitaji maendeleo sio kushindana na chama tawala kwenye vyombo vya habari huko sio kuimarisha upinzani upinzani utaimarishwa na maendeleo
Sasa Arusha tu mkuu wa mkoa anawapangia posho wataletaje maendeleo,wanakusanya kodi,wana tra tumia akili
 
Ni mbaya sana ikiwa mhimili mwingine unaamrisha bila kufuata sheria matakwa ya mtu mmoja ndio wafanye hivyo na kutoa hukumu kwa utashi wake! Mbaya sana historia haitawaacha wote wanatumika!!! Katiba Katiba
 
Kwahiyo ndio mnavyoshauriana kua mkitukana mkimbie nchi?
 
Sasa Arusha tu mkuu wa mkoa anawapangia posho wataletaje maendeleo,wanakusanya kodi,wana tra tumia akili
Kwahyo ahadi walizokuwa wanazitoa wakati wa kampeni walikuwa na tra acha siasa za maji taka tumuombe Lema atoke aendelee kuwatumikia watu wake wa arachuga
 
Kimsingi sijaelewa ni maneno gani ya uchochezi aliyoyatamka Mh amayesota jela naomba mmoja aelezèe kwa ufupi sana.
Aache kuota ota vifo vya viongozi, sasa sijui huko selo ndoto haziji au?
 
utamkimbiaje kafiri(muuwaji na mnyanyasaji wa wasio hatia)
 
Back
Top Bottom