KISBO DAR - MWANZA: Abiria alazimishwa kukojoa kwenye chupa ili dereva awahi

Kawaida magari haya yanatakiwa yawe yanafanyiwa service kila baada ya kutembea Kilomita kadhaa kwa mujibu wa Mtengezaji,
Wamiliki wa magari wengi wa bongo hawajali hayo,
Dereva akimkumbusha anamuuluza kwani gari si inatembea?
Akimwambia ndiyo, anamwambia ingiza gari barabarani.
Alietengeza gari siyo mjinga kusema gari iwe inafanyiwa service regularly,

Sasa kwa hali hiyo ikitokea hitilafu kuhu madereva wenyewe ni hao wahuni/ wehu utategemea athari itakuwa kubwa kiasi gani?
 
Ila serikali hairuhusu kukoja porini🤷🏿‍♀️🤷🏿‍♀️
 
Lakini sishangai sana kwa baadhi ya abiria kutokuonesha kujali usalama wao wawapo barabarani,
Sababu tunatofautiana :
-akili, maono, tabia n.k

Kama mtu anaweza kufanya mapemzi kiholela holela na mtu yeyote mahali popote bila kujali uwezekano wa afya yake kuwa hatarini je atajali usalama wake awapo barabarani?
Samahani kwa kuyanena hayo!
 
Eeh huyo maza ilikuaje kuaje nipe story yake plz.
Imetokea south Africa I think au nchi moja wapo barani Africa, maza kaenda bank kapanga foleni ndefu haiendi akabanwa na mkojo akaomba aonyeshwe toilet bank wakamjibu hakuna toilets kwaajili ya wateja akaona isiwe taabu akachojoa akakojoa mule mule bank 😄😄😄, habari ipo mitandaoni jaribu kuitafuta.
Nasikia bank ilikuja kumuomba msamaha!
 
Unaweza kuwa na Vibofu viwili!!! Si kawaida hii!!!Kachek Ultrasound!!!!
nmetoka dar na lucky star saa12 asubui
Nikishaingia kwenye basi nafunga mkanda nazingatia mno nikufunga dar ntaufungua mwanza au nnakoenda
Mpaka mwanza saa7 :30 usiku sijashuka hata sehemu moja na mkojo haunibani
Nmefanya kufungua mkanda nikalala saa 12 niko kwenye basi naenda musoma sijakojoa mpaka nafika nnakokwenda saa5 nikashinda kutwa nikaja kupee saa 12 jioni
Yani mm hata mizunguko yangu ya hapa na pale mpaka nirudi home ndo najiskia kama najikojolea ila nikiwa na mambo mengine walaa hata ikiwa safari ya 48hrs

Napenda basi inayotembea slow hata tukisafiri siku5 sawa tu
 
Sijui kwanini wabongo wengine hupenda kupuuza mambo ya msingi,
Wengine wanapopatikana na ugonjwa flani daktari anampa miiko,
Mfano kuanzia sasa usile vyakula vyenye chumvi nyingi, mafuta na sukari,
Lakini hawajali wala nini tena wanagombana na wale wanaowauguza wanaozingatia miiko,

Mwingine hata dawa hanywi kabisa na kwa faida ya nafsi yake mwenyewe,

Sasa mtu kama huyo akiwa safari kwenye gari unazani hata gari ikienda mwendo kasi ambao ni wa hatari unazani atajali?
 
Halafu hii haipo kwa watu wa hali flani kwamba tusiwalaumu madereva peke yake kwa kuwa hawajasoma la hasha,

Hata kwa wasomi ni hivyo hivyo hawajali ,
Watendaji wa serikali na viongozi na magari yao huendeshwa kwa kasi ya ajabu na hawajali nafsi zao

Sijui hawana wategemezi?

Sijui hawawahurumii watoto na wake zao?

Kwamba chochote kikitokea watoto wao watapata tabu sana na wale wanaowategemea kwa ujumla?
 
Kwa jana nilikuwa miongoni mwa abilia tulio safiri na gari aina ya Kisbo, hii kwa mara ya kwanza hii gar ilikuwa na kakondakita kana majibu ya ajabu,kuna dreva kijana mwembamba yeye alitupokea pale Dodoma kwanza anaendesha gar ovyo ovyo mno,ukilinganisha na yule Bonge.

Cha kuskitisha jana tulianza safar vizr,yule dreva Bonge alitoa dakika tatu za kuchimba sawa polini,kabla hata ya singida baada ya hapo hatukupewa muda wwte kutoka singida mpka tunaitafta morogoro.

Ghafla watu wakaanza kulalamika kubanaa na haja ndgo, ilikuwa ukiomba nafasi gar ismame unashambuliwa balaa.ghafla baba mmoja alitoka mbele kuja kwa dreva kumuomba asimamishe gar ili ajisaidie huyo dreva akamwambia chukua chupa mzee ukojoe tutoboe sisi.

Kweli mzee wa watu akachukua chupa na kukojoa humo paspo kujua madhara makubwa yatokanayo kukojoa kwenye chupa.
Nani anawapa jeuri kisbo?
Ni kwanini wana kutoa ufahamu?
 
ungemwambia huyo mzee akojolee dashboard mbona suka angelegeza tu
Hila chombo kama una chimba dawa sana haikufahi
Screenshot_20190422-105559~2.jpeg
 
Kisbo ndege ya ardhini..hilo wanapanda watu wa business class wew ulifuata nini humo na kibofu chako kibovu?

Hivi kwenye mabasi kunakuwaga na “business class”?
Nilizani kwenye ndege tu?!

Ila ninachojua kumekuwa na common mistakes kwamba wengi kujiita wafanyabiashara ili hali ni kumbe ni wachuuzi tu

Yani mfanyanyibiasha kwake wakati ni Mali , atathubutu kupanda basi bara hadi pwani atumie masaa chungu nzima kwa basi?

Labda tujifunze tofauti kati ya mfanyabiashara na mchuuzi kwanza!

Siku hizi wengine hujiita wajasiriamali eti

Yani imekuwa kama fasheni flani!
 
Ningelenga kioo cha mbele upande wa dereva udondokee kwenye dash board !
Yaani basi lingenuka ukojo ukojo tu!
 
Kwa jana nilikuwa miongoni mwa abilia tulio safiri na gari aina ya Kisbo, hii kwa mara ya kwanza hii gar ilikuwa na kakondakita kana majibu ya ajabu,kuna dreva kijana mwembamba yeye alitupokea pale Dodoma kwanza anaendesha gar ovyo ovyo mno,ukilinganisha na yule Bonge.

Cha kuskitisha jana tulianza safar vizr,yule dreva Bonge alitoa dakika tatu za kuchimba sawa polini,kabla hata ya singida baada ya hapo hatukupewa muda wwte kutoka singida mpka tunaitafta morogoro.

Ghafla watu wakaanza kulalamika kubanaa na haja ndgo, ilikuwa ukiomba nafasi gar ismame unashambuliwa balaa.ghafla baba mmoja alitoka mbele kuja kwa dreva kumuomba asimamishe gar ili ajisaidie huyo dreva akamwambia chukua chupa mzee ukojoe tutoboe sisi.

Kweli mzee wa watu akachukua chupa na kukojoa humo paspo kujua madhara makubwa yatokanayo kukojoa kwenye chupa.
Unyanyasaji huo!
Ingekuwa ni haja KUBWA inge kuwaje???
 
Abiria wengine Hadi KERO, unajijua ukinywa maji huwa unakojoa kojoa ovyo, Kwanini unywe maji mengi?

Kumbuka haki yako pia Kuna haki ya wengine wanawahi wagonjwa kupeleka dawa, Wengine mazishi kwahiyo abiria tuwe making tunaposafiti hasa masafa marefu.

Istoshe Serikali ilishapiga marufuku KUCHIMBA dawa porini huo NI uharibifu wa mazingira. gari ikiingia stendi omba kinda kakojoe. sio kila mahala gari lisimame.

Pia muwe makini wengine anaweza kujifanya anataka kukojoa kumbe kala njama na wahalifu gari linasimama porini mnatekwa wote na kuibiwa.
Hakuna sehemu yoyote binadamu anakojoa kwa saa nzima tuondolee ujinga wako hapa! Less than one minute at most na ile kubwa the same ukizidisha dk moja ni kusikilizia utamu wa kukojoa na kunya tu!so zoezi lote ndani yadk 2 mtu kesharudi garini!
 
Siyapendi, yanakimbia sana mpk unahisi kukata network kichwani. Tukiwahi kufika shy saa tatu usiku hd ile nimeshuka nikawa naona kizunguzungu ht sielewi ramani ya home ikoje, khaaaa! Boda kanichukua namwambia nipeleke sehem flan akaanza kwenda mara nikamwambia umepotea sio huko kumbe mm ndio nilikuwa sielewi.
 
1: kukojoa kwenye chupa kuna madhara?
2: mwanaume MNA Raha kwahiyo alitoa dushe kichwa naweka kwenye mdomo wa chupa ya Maji? nipo nazoom how it was
3: angekuwa mwanamke ingekuwaje? Sisi kulenga pale kwenye chupa ni taabu sana
Kuna vidude vya plastic inabidi muwe mnatembea navyo safarini unakivaa ukitaka kukojoa unakojoa kama mwanaume.
 
Back
Top Bottom