KISANDU aokoa maisha ya wanachuo wa SAUT

KISANDU aokoa maisha ya wanachuo wa SAUT

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,390
Katika kikao kifupi kinachoendelea hapa Mwanza na baadhi viongozi wa chuo cha SAUT na ndugu Kisandu wa NCCR-mageuzi ni namna ya kuwasaidia wanachuo ambao hawajapata mikopo yao. mapendekezo yao ni namna serikali inavyoweza kuwasaidia kuondokana na ukata kwani hawajui wataishi vipi, hata hivyo Kisandu kawafungulia njia kwa kumwalika MH.Mbatia ili wafanye kila njia kuokoa maisha ya wanafunzi hao pamoja na hayo kisandu amechangia 500,000/= iliziwasukume walau kwa siku kadhaa.

Ntaendelea kuwapa Update.....mpaka mwisho wa majadiliano
 
Katika kikao kifupi kinachoendelea hapa Mwanza na baadhi viongozi wa chuo cha SAUT na ndugu Kisandu wa NCCR-mageuzi ni namna ya kuwasaidia wanachuo ambao hawajapata mikopo yao. mapendekezo yao ni namna serikali inavyoweza kuwasaidia kuondokana na ukata kwani hawajui wataishi vipi, hata hivyo Kisandu kawafungulia njia kwa kumwalika MH.Mbatia ili wafanye kila njia kuokoa maisha ya wanafunzi hao pamoja na hayo kisandu amechangia 500,000/= iliziwasukume walau kwa siku kadhaa.

Ntaendelea kuwapa Update.....mpaka mwisho wa majadiliano

Kisandu ni nani?
 
Njaa zitawauwa!! Hapo hajatatua tatizo amelifunika! Na kwa akili zenu fupi mnashangilia kama mazuzu kwa kupewa 500,000/=?!

Semester ijayo atatoa laki 5 tena?! hadi mmalize chuo atakua akiwapa fedha ya kujikimu?!

Mmekuwa sasa, nadhan mnapaswa kufikiria kama watu wazima, wenye akili timamu!!
 
Mleta mada anafaa apimwe akili kwanza.Hv hapa kuna lipi la maana lililofanywa na Kisandu? Eti kumwita Mbatia amewafungulia njia?Mbatia ana uhusiano gani na bodi ya mikopo?500,000/= ametoa kwa kila m2 au?
 
Katika kikao kifupi kinachoendelea hapa Mwanza na baadhi viongozi wa chuo cha SAUT na ndugu Kisandu wa NCCR-mageuzi ni namna ya kuwasaidia wanachuo ambao hawajapata mikopo yao. mapendekezo yao ni namna serikali inavyoweza kuwasaidia kuondokana na ukata kwani hawajui wataishi vipi, hata hivyo Kisandu kawafungulia njia kwa kumwalika MH.Mbatia ili wafanye kila njia kuokoa maisha ya wanafunzi hao pamoja na hayo kisandu amechangia 500,000/= iliziwasukume walau kwa siku kadhaa.

Ntaendelea kuwapa Update.....mpaka mwisho wa majadiliano

Bw Yesu ndiye Mwokozi wa kweli wa maisha yao, sio Mbatia...
 
ndio maana jana nikasema kuna mtoa hoja juu ya wanafunzi wa saut, alikuja hapa na ajenda yake binafsi na leo yanadhihirika hapa, nia nadhani ilikuwa kuchafulia watu fulani na kupamba watu fulani. mods nina wasiwasi wa multiple IDs hapa.

mtoa hoja, karibu uni pm unikonvisi kuwa am wrong!

let us be realistic, and truthfully.

tusitumie vibaya uwepo wa shida kwa wadogo zetu kwa maslahi binafsi
 
Njaa zitawauwa!! Hapo hajatatua tatizo amelifunika! Na kwa akili zenu fupi mnashangilia kama mazuzu kwa kupewa 500,000/=?!

Semester ijayo atatoa laki 5 tena?! hadi mmalize chuo atakua akiwapa fedha ya kujikimu?!

Mmekuwa sasa, nadhan mnapaswa kufikiria kama watu wazima, wenye akili timamu!!

Ni kweli mkuu, hapo anataka kufunika tatizo. Wanafunzi 250 lakitano itawalipia kodi ya pango au chakula? Nii bora hata angeomba uongozi wa chuo uwafkirie wakati wakiendelea kuhangaikia loan. Ingekuwa ni watoto wa wenzetu waloshikilia nchi ungekuta wameshatatua tatizo ila kwa wakulima ni sawa
 
Chuo cha SAUT kina wanafunzi wangapi? wasiokuwa na Pesa.
 
Back
Top Bottom