Kisa cha bikira wa mobutu

zaire ilitokana na neno la kireno zah- eer na wakongo hulitamka kama nzere au nzadi maana yake ni mtu mkubwa unaopokea maji kutoka mito yote , hivo mwanamajumui aliyesema ni shetani kakosea sana. akasome vizuri
MTU mkubwa/Mti mkubwa au MTO mkubwa?
 
hata kama kiasili matambiko ya wakongoman wengi ni kwenye mito ukianzia fasi ya lubumbashi, kasai, kalemi, goma, kisangani , uvilla na maeneo mengine wao huamini mito kama sehemu zenye mizimu
 
hata kama kiasili matambiko ya wakongoman wengi ni kwenye mito ukianzia fasi ya lubumbashi, kasai, kalemi, goma, kisangani , uvilla na maeneo mengine wao huamini mito kama sehemu zenye mizimu
Bila kusahau Moba
 
Unajua chanzo cha prostate cancer ya Mobutu?
Sifahamu mkuu, japo kuna mzee mmoja aliniambia kua ilipandikizwa kwenye toilet paper kupitia mmoja wa walinzi wake wa karibu
 
Sifahamu mkuu, japo kuna mzee mmoja aliniambia kua ilipandikizwa kwenye toilet paper kupitia mmoja wa walinzi wake wa karibu
Alikuwa infected na mmama wa kizungu ..She was revenging for the death of her husband who was murdered by Mobutu's son.

Mobutu was warned by his sangomas to stay away from the muzungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…