zaire ilitokana na neno la kireno zah- eer na wakongo hulitamka kama nzere au nzadi maana yake ni mtu mkubwa unaopokea maji kutoka mito yote , hivo mwanamajumui aliyesema ni shetani kakosea sana. akasome vizuri
hata kama kiasili matambiko ya wakongoman wengi ni kwenye mito ukianzia fasi ya lubumbashi, kasai, kalemi, goma, kisangani , uvilla na maeneo mengine wao huamini mito kama sehemu zenye mizimu
hata kama kiasili matambiko ya wakongoman wengi ni kwenye mito ukianzia fasi ya lubumbashi, kasai, kalemi, goma, kisangani , uvilla na maeneo mengine wao huamini mito kama sehemu zenye mizimu