mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
JF imekuwa polisi au mahakama?Habari wana jamvi? Kwa miezi kadha naona kada wa Ccm aliyekuaga mwanachama wa Chadem Benson Mramba akinukuu na kuandika mambo ya ajabu ajabu sana sasa leo nimeona niwape nini kilichofanya kufukuzwa chadema.
Bwana Benson mimi nikiwa kama Boss wako wa Zamani unakumbuka ulivyo foji cheki nakwenda kuchukua hela ya Chadema Bank? Bwana Benson unakumbuka ulivyouza gari ya chadema kinyemela? Hayo nimachade je unakumbuka ulivyowachangisha wanachama wa Chadema takriban Tanzania nzima kwa kigezo unaeneza chama na ukaenda kuzilia pesa hizo Zanzibar? Jibu nitoe ushaidi
Mwanahabari Huru
Wakati anatenda hayo kulikwina?