Mm ni mfuasi wa maandiko yako humu jamvini najua tupo wengi sana, umekuwa honest kwa post yako, hata hvyo Nyani Ngabu ni mwanasheria anawazingua wanasheria wenzake tu!
Really? How are they better?
How is a lawyer better than a rocket scientist or nuclear physicist?
How is a magistrate better than a brain surgeon or cardiologist?
Naona maswali yangu yamekushinda wewe!
Najaribu kuwaza... Hivi ingekuwaje kama dunia ingekuwa na maloya pekee...??
Ndio degree pekee isiyokuwa bachelor of arts au bachelor of science
Wengi wao ni waoga hata kutetea kesi ukitafuta mawakili au wanasheria makini hapa Tanzania hata 100 hawafiki wengi wao ni wanaharakati tu na wajanja wa kutaka pesa nyingi hata kama anajua kesi hushindi.
Ila kiukwel vyuo vya uhasibu ni vingi sana kwa ngaz ya certificate mpaka degree kuna zoom college,udzungwa college,st.jose training college,ifm,ruco,udom,eukenford,state university of zanziba,udsm,mzumbe,ardhi,muccobs,tia(dar), tia(singida),tia(mtwara),IAA,JORDAN UNIVERSITY,ST.STEPHANO,ITA,SAUT(MWANZA),tumaini,SAUT (ARUSHA-MPYA), SAUT(Mbeya),ARUSHA UNIVERSITY, vyote hivi vinatoa masomo ya kihasibu ,tuje law UDSM,MZUMBE,MUCCoBS,RUCo,IJA,SAUT,TUMAINI,MAKUMIRA,UDOM,
Uko sawa mkuu!!! Hata mimi mdau sana watu yaani mossad007 na mkuu Nyani Ngabu..
Kusema kweli sijafurahishwa na kitendo chao cha kuporomosheana mitusi hapa jukwaani!!! Achilia mbali ya kua mdau wao lakini pia ni wakongwe hapa J.F sasa sielewi haya matisi wanatufundisha nini!!!!
Walianza kwa hoja vizuri, ghafla matusi yakaanza...narudia tena sijafurahishwa na mitusi yao!!! Na hii inawashushia heshima hapa j.f..
Na kama ni ma lawyer kama wanavodai nashindwa kuelewa ni lawyer gani ambaye yuko emotional kiasi hiki?? Je wataweza simama mahakani kwa mtindo huu?? Au wataanza kuporomosha mitusi mahakamani??? I dought!!!
Jirekebisheni wakuu...
Cc Nyani Ngabu na mossad007..
Point yako ni ipi hapa !?
Umemaliza mkuu yaani kuuziana viwanja,magari na mikataba ya nyumba ooooooonh utawapendaaaa!!!!!!!
Mifupa migumu wachache sana wanaojaribu japo kunusa!!!!!
Uko sawa mkuu!!! Hata mimi mdau sana watu yaani mossad007 na mkuu Nyani Ngabu..
Kusema kweli sijafurahishwa na kitendo chao cha kuporomosheana mitusi hapa jukwaani!!! Achilia mbali ya kua mdau wao lakini pia ni wakongwe hapa J.F sasa sielewi haya matisi wanatufundisha nini!!!!
Walianza kwa hoja vizuri, ghafla matusi yakaanza...narudia tena sijafurahishwa na mitusi yao!!! Na hii inawashushia heshima hapa j.f..
Na kama ni ma lawyer kama wanavodai nashindwa kuelewa ni lawyer gani ambaye yuko emotional kiasi hiki?? Je wataweza simama mahakani kwa mtindo huu?? Au wataanza kuporomosha mitusi mahakamani??? I dought!!!
Jirekebisheni wakuu...
Cc Nyani Ngabu na mossad007..
Najaribu kuwaza... Hivi ingekuwaje kama dunia ingekuwa na maloya pekee...??
Fool f**k you mjinga mkubwa wewe huna hata certificate unakuja kubishana na learned advocates&lawyerz wenye LL,B,LL,M,LL,D[/QUOTE
Unabishana kuhusu katiba au nini?
Sifa kuu ya Mungu ni uumbaji wa vitu vyote: Na ameviweka vyote katika fomula na taratibu maalum , na ndivyo ilivyo kwa hawa watu wenye IQ kubwa yaani wanasayansi.
LORDVILLE it happens once in a while when a person gets into yo nerves
thngs actually turns wild..
Huyu Nyani Ngabu sio hapa tu nimeona huko kwenye mijadala mingne pia anatukanana na watu
labda hakuamka vzur mi sifaham,
wameni PM watu 6 kuniambia niachane na huo mlolongo it caught my sense
... binafsi namheshimu sana labda kapitiwa tu had and yet 'll av nothng personal with him.
Fool f**k you mjinga mkubwa wewe huna hata certificate unakuja kubishana na learned advocates&lawyerz wenye LL,B,LL,M,LL,D
Gets on your nerves.
Rather get out of control than turn wild, not turns wild.
Kwenye hii mada wewe ndo ulianza kunitukana baada ya kushindwa kuelewa nilichoandika kwenye nukuu ya bandiko lako.
So much for a so called 'lawyer'.
Labda we ndo hukuamka vizuri maana matusi sikuanza miye. Ulianza wewe.
Nothing new there. Wote waliokuandikia ni wanafiki tu. And I had a feeling some would do that. It's the way of the world, I guess.
Ungekuwa unaniheshimu sana basi badala ya kuandika kunijibu na kuanza kunishambulia, ungekuwa muungwana na kusoma kwa makini na utulivu kile nilichokiandika halafu pale ambapo hukuwa umeelewa ungeniuliza.
Badala yake ukaanza kunishambulia kwa kuniita "coward", 'mpumbav.u' na maneno mengine ya kebehi na kejeli.
Ulianza mwenyewe, ulipojibiwa kimtindi ukaanza kulia lia.
Go to hell and burn.
LORDVILLE it happens once in a while when a person gets into yo nerves thngs actually turns wild.. Mimi sio muumini wa lugha chafu ila nazijua tho sitafuti heshima yoyote hapa JF ila ni hamasa kujua unaheshimiwa kama ww unavyowaheshimu watu.. Huyu Nyani Ngabu sio hapa tu nimeona huko kwenye mijadala mingne pia anatukanana na watu, labda hakuamka vzur mi sifaham, wameni PM watu 6 kuniambia niachane na huo mlolongo it caught my sense... binafsi namheshimu sana labda kapitiwa tu had and yet 'll av nothng personal with him. Pole sana kwa kukukwaza ww na mwingne yeyote.
Uwe na J2 njema!
mawazo finyuWahuni wengi wamevamia fani, ndo maana marehemu Dr Mvungi & Co walirudisha Law school ili wachujwe vilaza wasipenye lakini napo nasikia kuna watu wanaiba pepa na wengine wanaibiana kwenye vymba vya mitihani sas hapo tutaishia kupata mawakili majina tu lakini kichwani hakuna kitu, kuna mtu nilimpa kesi ndogo tu ya madai naushahidi upo lakini nikamwona nataka kujenga mazingira ya kutoa rushwa eti hii kesi ni ngumu hatuwezi kushinda bila kurekebisha mambo kwa mheshimiwa nikakataa na kuachana nae
mawazo finyu
Unaweza thibitisha hii kauli yako?LL.B ana sifa labda zaidi ya Engineer wa NASA?Zaidi ya Neurologist?