Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Watanzania wamelalamikia tume ya uchaguzi kwa kuwa na sehemu chache za kujiandikishia na huku ukifika watu wengi unakuta watu watatu tu..sehemu ya kimara ilikuwa ni sehem,u ilioathirka na swala hili baada ya kutokea folen ya watu huku wakilalamika kwa nini wanawanyanyasa...Nnape nauye ni mmoja walioathirka na swala hili pale alipofika huku amembea mwanae mchanga na bila huruma watu kushindwa kuwasaidia wenye watotot ama wenye ujauzito....na hivyo kushindwa kuendelea na shuguli ya kujiandikisha..baadhi ya watu wa kimara walilamika waandikishaji kwa kuwatishia kwamba wataita polisi na wamewambiwa wakiona shida yoyoyte wapige simu defender ije....
KAZI KWAKO MKUU.
KAZI KWAKO MKUU.