Hii ni wiki ya pili tunatumiwa hizo msg mimi na mke wangu,Hii ni hatari sana,hata mimi nimetumiwa ujumbe,nawasiliana na wanasheria ili nifungue kesi ya kuingiliwa privacy!
Hunifahamu, sikufahamu. Ni kweli nimejiandikisha Mikocheni ambayo ipo Jimbo la Kawe. Kitu kinachonishangaza imekuwaje Tume wakupe namba yangu ya simu na kuanza kunitumia meseji kila siku za kampeni zako za kisiasa?
Imekuwaje uitafute na kupata namba yangu ya simu bila ridhaa yangu?
Na nyie watu wa Tume wa Mikocheni nilipojiandikisha kwenye BVR, inakuwaje mmempatia mtu mwingine details zangu bila ruhusa yangu?
Huku mchezo huu ukiwa unaendelea, nawaomba sana TCRA hebu mwiteni KIPPI Warioba na mumuhoji ni kwanini anawatumia watu msg bila ya ridhaa yao? Na kama mtataka ushahidi mimi ni mmoja wa watu tutakaojitokeza na ushahidi wa hizo sms zake anazozituma.
Mpaka mtu wa CCM kuweza kupewa details za mpiga/Wapiga kura, je bado tuendelee kuamini kwamba hoi tume ya uchaguzi ni huru?
Mi mwenyewe nimepata hizo sms ,Cjui kapate namba zetu. Hi si sawa
View attachment 293758Hii ni moja za sms ambayo amenitumia muda huu.
Nasema Akome. Anachotakiwa kukifanya kwasasa ni kuandaa mawakili wa kumtetea dingi wake pindi Ukawa ikiingia madarakani juu ya wizi wake kupitia kampuni ya Meremeta. Asidhani Watanzania ni mazuzu na kwamba tunasahau kirahisi kihivyo!
View attachment 293759 Na hii ni sms yake nyingine Mbwa huyu!
we mtoa post ni mjinga kweli hivi kutumiwa text ndo unalazimishwa umchague? mbona unakuwa mpumbavu kias kile
Ongea na mobile operator wako. Masharti ulioyo sign wakati unachukua simu yanaruhusu matangazo. Hata wewe ukitaka peleka tangazo lako, walipe wanalisukuma tu. Mimi nimejiandikisha kinondoni lakini nimepata pia. Na ni ujumbe mzuri of course, jione mwenye bahati kupata ujumbe huu.
hunifahamu, sikufahamu. Ni kweli nimejiandikisha mikocheni ambayo ipo jimbo la kawe. Kitu kinachonishangaza imekuwaje tume wakupe namba yangu ya simu na kuanza kunitumia meseji kila siku za kampeni zako za kisiasa?
Imekuwaje uitafute na kupata namba yangu ya simu bila ridhaa yangu?
Na nyie watu wa tume wa mikocheni nilipojiandikisha kwenye bvr, inakuwaje mmempatia mtu mwingine details zangu bila ruhusa yangu?
Huku mchezo huu ukiwa unaendelea, nawaomba sana tcra hebu mwiteni kippi warioba na mumuhoji ni kwanini anawatumia watu msg bila ya ridhaa yao? Na kama mtataka ushahidi mimi ni mmoja wa watu tutakaojitokeza na ushahidi wa hizo sms zake anazozituma.
Mpaka mtu wa ccm kuweza kupewa details za mpiga/wapiga kura, je bado tuendelee kuamini kwamba hoi tume ya uchaguzi ni huru?
Hunifahamu, sikufahamu. Ni kweli nimejiandikisha Mikocheni ambayo ipo Jimbo la Kawe. Kitu kinachonishangaza imekuwaje Tume wakupe namba yangu ya simu na kuanza kunitumia meseji kila siku za kampeni zako za kisiasa?
Imekuwaje uitafute na kupata namba yangu ya simu bila ridhaa yangu?
Na nyie watu wa Tume wa Mikocheni nilipojiandikisha kwenye BVR, inakuwaje mmempatia mtu mwingine details zangu bila ruhusa yangu?
Huku mchezo huu ukiwa unaendelea, nawaomba sana TCRA hebu mwiteni KIPPI Warioba na mumuhoji ni kwanini anawatumia watu msg bila ya ridhaa yao? Na kama mtataka ushahidi mimi ni mmoja wa watu tutakaojitokeza na ushahidi wa hizo sms zake anazozituma.
Mpaka mtu wa CCM kuweza kupewa details za mpiga/Wapiga kura, je bado tuendelee kuamini kwamba hoi tume ya uchaguzi ni huru?