iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
Neno uzalendo linanichanganya,
Walioko madarakani na wenye mamlaka wanapenda kuwaita walio pembeni si wazalendo,na kila wakati wanawasihi wawe wazalendo
Je lengo lao ni kututaka tuwe wazalendo au lengo lao ni kutuambia "msitusumbue na msiwe wakorofi"
Je kuwahoji watawala ni kupungukiwa uzalendo?kudai haki za msingi ni kutokuwa uzalendo?je kutetea nchi yako inapovunja sheria ni uzalendo wakati wewe manzese kila siku unachoma moto wavunja sheria?
Humphrey Polepole alipokuwa anapingana na bunge la katiba aliitwa kibaraka wa nchi za magharibi,hana uzalendo,mzee warioba mpaka akapigwa ngwala na Paulo,Leo hawa akina Polepole wamefuzu wapi kozi ya uzalendo mpaka wanatukosoa wakati wao juzi tu waliitwa si wazalendo?
Walioko madarakani na wenye mamlaka wanapenda kuwaita walio pembeni si wazalendo,na kila wakati wanawasihi wawe wazalendo
Je lengo lao ni kututaka tuwe wazalendo au lengo lao ni kutuambia "msitusumbue na msiwe wakorofi"
Je kuwahoji watawala ni kupungukiwa uzalendo?kudai haki za msingi ni kutokuwa uzalendo?je kutetea nchi yako inapovunja sheria ni uzalendo wakati wewe manzese kila siku unachoma moto wavunja sheria?
Humphrey Polepole alipokuwa anapingana na bunge la katiba aliitwa kibaraka wa nchi za magharibi,hana uzalendo,mzee warioba mpaka akapigwa ngwala na Paulo,Leo hawa akina Polepole wamefuzu wapi kozi ya uzalendo mpaka wanatukosoa wakati wao juzi tu waliitwa si wazalendo?