kajunjumele
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,490
- 1,362
Inategemea na ugomvi utakaoanzisha,mwingine ukijifanya kumchokoza kwa kuomba 0713 inakuwa mwiso
Inaitwa tumefika sehemu ya3..
Inategemea na ugomvi utakaoanzisha,mwingine ukijifanya kumchokoza kwa kuomba 0713 inakuwa mwiso
ukipenda hauoni ....
Umeelezea vizuri sana mkuu, lakini urafiki hauna uzito katika mahusiano kiasi kwamba unaweza kuwa na rafiki wa kike mwenye rafiki mwengine wa kiume akiangalia bingo ya uchumba itaangukia wapi! Sasa akishakuwa mchumba ndipo atlist anakuwa na kauhakika kwamba ndoa itafuata, ndipo hapo majaribio yaanze.
Naeza kubali hii dhana coz huwa sielewi kbs mda stahiki wakukaa kwenye mahusiano mpk kufunga ndoa ni upi watu wanaeza kaa miaka3 wakahisi wanajuana vyakutosha lkn bado wakaja kuachana wengine wakakutana na ndani ya mwaka wakafunga ndoa na ikadumu vilevile kiukweli kwa sasa sielewi hasa ni nini kinachoendelea katika ulimwengu huu wa mapenzi nahisi kuvurugwa tu nakuona nyota....theres no formula
muda wa uchumba fekero nyingi mana mtu umwambie ukweli akikumwagaaa,inakuejee afu ndo ushamzimikia,
tutajuana mbele kwa mbele,
kuna vitu being a woman huwezi ukatajaa tuu ili mwanaume wako akufahamu vizur,mfano ur sexual past n relationships,hapo.lazma upunguze namba,ikibidi useme hujawah kuwa serious na hzo habar,unaangalia lakn na mtu
haya kuna ingine let's say.kazi za nyumbani hupendi na huwa hufanyii mfano kufua labda au.deki,hivi uanze kabsa kupiga.promo oh me sipendi.kufua,say.whooo,ndani ya ndoa ndo utajua,
haya labda napenda viwanja sanaa,kwa mupenzi ambae unaona ana mwelekeo inabidi u regulate kdogo hii sekta,nk...
fekero.ztaendele kuwepo mana some of us can't handle real shit,mbele ya safari sasaaa heheheh,Mungu atusaidie ndoa zidumu
Inategemea na ugomvi utakaoanzisha,mwingine ukijifanya kumchokoza kwa kuomba 0713 inakuwa mwiso
Sikua nasababu yakufanya hivyo kwani nilimpenda ndani ya roho yangu na daima ntampenda,yeye ni rafiki yangu,mshuri wangu,mumewangu,na Dad wa watoto wangu,mwenyezi mungu ampe uzima na uhai mrefu...wewe ulifanya hivyo?ulivyowekwa ndani ndo ulimuonesha rangi zote?
haya kama upo tayari kuacwa kila maraHapo ndo patamu, akiniacha mapema najua nisingefika nae mbali.