KipimaJoto ITV=CCM+TLP+NCCR+CUF-Chadema

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Ni ishu ya katiba na rasilimali.

Kuna Dr. Mvungi, mtu wa magamba, mtu wa Kafu, mtu wa TLP.

Hakuna Chadema.

Sijajua kama CDM walialikwa wakasusa.

Live kutoka ITV.
 
CDM hawachakchui hoja, wanajua nini wanafanya wanafikiri juu ya wananchi zaidi na si kulumbana na magamba.
 
Kama CDM hawapo hicho kipima joto hakina mvuto kukiangalia bora nilale zangu kesho niwahi kazini...
 
Ni ishu ya katiba na rasilimali.

Kuna Dr. Mvungi, mtu wa magamba, mtu wa Kafu, mtu wa TLP.

Hakuna Chadema.

Sijajua kama CDM walialikwa wakasusa.

Live kutoka ITV.
Ng'wanangwa vp ile issue ya Mbunge wa Magamba kuja Kwenye chama ketu,hauja update,siku hizi iman kwako imnapungua taratibu
 
Back
Top Bottom