Wachaguliwe ili iweje? Watu wametumwa bungeni na wananchi maskini ili wakawawakilishe lakini sasa wamejisahau. Wasiridushwe bungeni kwani hawana wanachofanya huko zaidi ya kupiga kelele za ndiyooooooo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.