Kipima Joto ITV!! Mambo Bado Mazito Mtaani

Kipima Joto ITV!! Mambo Bado Mazito Mtaani

Na wew unakiamin kipima joto cha ITV kinacho hoji watu watatu wa hapo kinondon halafu ndo unataka ireflect Tanzania nzima mkuu huwezi kuwa serious ..

mara hii umesahau ya kuwa 'ukitaka kushiriki kipima joto andika JOTO wacha nafasi na kisha N, H, au S na utume kwenda namba blah blah blah'? so kinahusisha watu wote. think big!
 
kweli UKAWA mnajifariji, hivi hizo takwimu ni za watu wangapi walio piga kura? ngoja hiyo katiba ije kwa wananchi wanaone itapita kwa asilimia ngapi?

waache wajifariji jamani! iweje uhoji idadi ya wapiga kura kwenye takwimu wakati 2010 synovet walipohoji watu 2000 na kuja na majibu mliyapokea kwa shangwe? ni majibu yale yale ya synovet yalotokea kwenye uchaguzi. vipi kuhusu leo synovet wakaja kinyume, mtakubali? sasa weka mapenzi pembeni na uwe halisia!
 
Back
Top Bottom