babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,425
- 3,300
Kipimajoto kama ada kimetoa majibu tata kwa upande wa Rasimu ya Sitta.
Swali
Je katiba pendekezwa imekidhi mahitaji ya kukivusha kizazi hiki na kijacho salama?
Matokeo ni
79%------ HAPANA
18%------ NDIYO
03%------ SIJUI
Wataalamu huku kwa wananchi ni kimbembe zaidi.
Ikumbukwe kuwa ili iwe Katiba Rasmi inatakiwa
50% ya wananchi wa Tanganyika watakaopiga kura waseme ndiyo.
Na
50% ya wananchi wa Zanzibar watakaopiga kura wapigie ndiyo.
Kazi ipo
Swali
Je katiba pendekezwa imekidhi mahitaji ya kukivusha kizazi hiki na kijacho salama?
Matokeo ni
79%------ HAPANA
18%------ NDIYO
03%------ SIJUI
Wataalamu huku kwa wananchi ni kimbembe zaidi.
Ikumbukwe kuwa ili iwe Katiba Rasmi inatakiwa
50% ya wananchi wa Tanganyika watakaopiga kura waseme ndiyo.
Na
50% ya wananchi wa Zanzibar watakaopiga kura wapigie ndiyo.
Kazi ipo