Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,253
mambo mengine yanaumiza tu moyo
Jama naye ni mkali kumbe walisha ipereka kesi mahakamani kuhusu mikataba anamewatukana wanao husika na madini umeme amewaita nimazuzu inakuwejee? unaingia mkataba umeme uwake usiwake unawalipa kweli wanaakili si nimazuzu sii maneno yangu ni ya mtaram msije kunihukumMsando, Anasema viongozi wanaoitafuna hii nchi watambue kuwa leo wapo madarakani na kesho hawata kuwepo hivyo hizo mali za watanzania wanazopora wajue watanzania wemeamka na watakuja kuzirudisha hata kama ni kwa kujakuwafilisi wajukuu wao.