Yuyo Ahumile Shamalendi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 993
- 782
Wakuu tupo pamoja.
Moja kwa moja kwenye mada.
Naomba tubadilishane mawazo hapa Kuhusu hivi vitu.
Katika matumizi ya mwanadamu au viumbe hai tunaona kua udongo umemiliki kila kitu duniani, nikimaanisha kua kila kitu kinachomilikiwa na mwanadamu au kiumbe hai kimetokana na udongo au kimetoka kwenye udongo ingawa vingine vimepitia hatua nyingi tangu kutoka kwenye udongo mpaka kutufikia sisi.
Na vile vile maji nayo yamechukua nafasi kubwa kwenye viumbe hai.
Sasa swali hapa ni kipi zaidi ya Udongo au Maji, kinachotakiwa hapa wakuu ni kukizungumzia kitu ambacho ni zaidi halafu na sababu zinazopelekea kiwe zaidi ya kingine.
Nawasilisha, wakuu karibuni.
Moja kwa moja kwenye mada.
Naomba tubadilishane mawazo hapa Kuhusu hivi vitu.
Katika matumizi ya mwanadamu au viumbe hai tunaona kua udongo umemiliki kila kitu duniani, nikimaanisha kua kila kitu kinachomilikiwa na mwanadamu au kiumbe hai kimetokana na udongo au kimetoka kwenye udongo ingawa vingine vimepitia hatua nyingi tangu kutoka kwenye udongo mpaka kutufikia sisi.
Na vile vile maji nayo yamechukua nafasi kubwa kwenye viumbe hai.
Sasa swali hapa ni kipi zaidi ya Udongo au Maji, kinachotakiwa hapa wakuu ni kukizungumzia kitu ambacho ni zaidi halafu na sababu zinazopelekea kiwe zaidi ya kingine.
Nawasilisha, wakuu karibuni.