ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,118
- 5,368
Sheria zao zingine zinaboa na hazina hata tija eti ni marufuku kula nyama ya jogoo kuku kwasababu jogoo ni msherati.
Pia eti wanandoa hawaruhusiwi kutumia au kulala kwenye kitanda sita kwa sita eti kinatenganisha wanandoa et kitanda sahihi ni 4×6
mkuu sio vyema kuwasingizia watu au kuwasemea uongo..
mbona nyama ya jogoo wanakula sana na pia hawana sheria inayohusu mambo ya vitanda.....
Mungu akurehemu