Kipi ukipendacho kutoka kwa wasabato?

Kipi ukipendacho kutoka kwa wasabato?

Status
Not open for further replies.

IamMrLiverpool

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
4,738
Reaction score
7,085
Wakuu leo kuna swali hapa naombeni mnipe majibu kama hamtojali
je ni mambo yapi unayoyapenda kutoka kwa waadventista wasabato liwe moja yawe mawili au zaidi unakaribishwa
 
Lifestyle wanayofundishwa, wengi hawafuati lakini. Ukiifuata unakua na afya nzuri sana. Tafuta kitabu Blue Zones kina chapter kuhusu hawa watu. Ndio jamii yenye active long life in usa
 
Sheria zao zingine zinaboa na hazina hata tija eti ni marufuku kula nyama ya jogoo kuku kwasababu jogoo ni msherati.

Pia eti wanandoa hawaruhusiwi kutumia au kulala kwenye kitanda sita kwa sita eti kinatenganisha wanandoa et kitanda sahihi ni 4×6
 
Sheria zao zingine zinaboa na hazina hata tija eti ni marufuku kula nyama ya jogoo kuku kwasababu jogoo ni msherati.

Pia eti wanandoa hawaruhusiwi kutumia au kulala kwenye kitanda sita kwa sita eti kinatenganisha wanandoa et kitanda sahihi ni 4×6

ha ha ha nilikuwa sijui haya, sema kweli Mkuu!!!
 
Jamani sisemi kwa lengo la kukashifu, kwa muda mrefu nimechunguza wasabato marafiki zangu na wengine ninaowajua, nikahitimisha kuwa wasabato ni malaya/wapenda ngono kuliko wakristu wengine na wanapiga kimyakimya. Hebu na nyie wachambueni mnaowajua
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom