Mwanampuna
Senior Member
- Jul 21, 2016
- 131
- 80
Habari wana Jf
Wanawake mnaona Kipi bora kati ya mwanaume kuoa mke wa pili au acheat kimya kimya?
Wanawake mnaona Kipi bora kati ya mwanaume kuoa mke wa pili au acheat kimya kimya?
Naruhucwa kuchangia Mada but am not a girl,Habari wana Jf
Wanawake mnaona Kipi bora kati ya mwanaume kuoa mke wa pili au acheat kimya kimya?
Watakuja hao uliowaita, ila usikimbie. Uzinifu ni dhambiHabari wana Jf
Wanawake mnaona Kipi bora kati ya mwanaume kuoa mke wa pili au acheat kimya kimya?
Vizuri kula na wenzako mamieYote mabaya lakini kucheat kimya kimya unaweza kujifanya huyajui la kuolewa mke wa pili mmmh.
Ni kweli hata HIV tutaishare tu.Vizuri kula na wenzako mamie
UnaruhusiwaNaruhucwa kuchangia Mada but am not a girl,
Asilimia 99 ya wanaume wana mwanamke zaidi ya mmoja so kama we ni mwanamke inabidi uchague kimoja kati ya hivyoVyote vibaya
Na ikitokea unamjua anayecheat naye je?Yote mabaya lakini kucheat kimya kimya unaweza kujifanya huyajui la kuolewa mke wa pili mmmh.
Ah sasa kama anafanya mpaka unajua basi heshima hakuna.Na ikitokea unamjua anayecheat naye je?
Mkuu kwani ungekuwa demu ungechagua kipi kati ya hivyo???...majibu yetu yatachepuka kutoka kwenye jibu lako!!!Habari wana Jf
Wanawake mnaona Kipi bora kati ya mwanaume kuoa mke wa pili au acheat kimya kimya?
Bora aoe nahisi itakua akioa majukumu yatambana so itakua ngumu kuchepuka kwa mwingineMkuu kwani ungekuwa demu ungechagua kipi kati ya hivyo???...majibu yetu yatachepuka kutoka kwenye jibu lako!!!