mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,762
Tunaponunua gari huwa hatukurupuki kununua Kama unavyonunua suruali Bali Ni lazima lichunguzwe na mafundi wako na ikiwezekana unaipigisha safari moja Dar to Singida na kurudi Kama ni mbovu mafundi wataijua tu.Unajitosa ila muda huo huo unapolichukua tokea kwa MTU ni lazima uwe una uwezo kujua uzima Gari ni zima ama sio zima