Vita ni ngumu lakini lazima kuwatingisha hata kama hujafanikiwa kuwamaliza basi watie hasara ili wajue kuna serikali. Kuogopa na kuwaacha waendelee kutamaliza nguvu kazi yote halafu hao watu watageuka majangili waliokubuhu waanze kumaliza watu kuwaundia zengwe lingine. Potelea mbali acha waanze mwisho baadae.