Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
Mkuu! Jina si dini na Mke wako sio wa kwanza kubadilisha dini. Wapo kina Ibrahim Kiduma, Augustino Ramadhan, Mwaipopo nk. Kuhusu kuchakachuliwa, mbona uchaguzi 2010 ulichakachuliwa na JK bado ni President? Sasa kuficha/kukataa kipengele cha dini kitabadilisha dini ya Mkeo?mimi naona haya madai ya ponda .yataleta matatizo yasio kwisha .kwanini ? Mfano mimi binafsi mke wangu anaitwa Fatuma nanii mkristo kwani sasa hivi ukibadili kuingia ukristo ni mapenzi yako kubadili jina ,sasa tukihesabiwa .ponda akakuta kwenye orodha jina la Fatuma lakini dini mkristo .siataanza madai mapya kwamba sensa imechakachuliwa ?
Je unafahamu kuwa kwenye nchi iitwayo Saud Arabia, vitambulisho vya wa-Islam ni vya kijani na vya wasio wa-Islam ni vyekundu?
Unajua vitu vingine huanza kidogo-kidogo na huwezi jua mwisho wake utakuwa nini. Hata vitabu vya sheria havikutengemaa siku moja, sheria ziliongezwa kidogokidogo na mwishowe tukawa na vitabu vikubwa vya sheria zetu.
Wanasema kinga ni bora kuliko tiba.
Listen you pussy cat doll....... if it doesnt matter, why bother
Bastard wewe, babako, mamako, bibiyako, babu zako, mmeo, vizazi vyako, mali zako, mimea yako, choo chako, na kama una madeni nayo bastard, kama una ndoto nazo bastard na hata kama una mawazo yoyote yale yooote ni bastard
walaanatuk
وأنا لا اللعنة مثليون جنسيا، وسبق أن والدك
hizo data ni zipi? Je ni tofauti na zangu hapa chini?Hauwezi pata kinga bila kujua Ugonjwa, na wanasema "mficha maradhi,kifo humuumbua" Angalia takwimu zote mitandaoni za population density utaona uwiano wa dini almost ktk kila nchi. Hata Tz pia wameweka hizo fake data. Serikali imepinga hizo takwimu, kwanini wanaogopa kuweka takwimu za kweli?
Languages: | |
Kiswahili or Swahili (official), Kiunguja (name for Swahili in Zanzibar), English (official, primary language of commerce, administration, and higher education), Arabic (widely spoken in Zanzibar), many local languages note: Kiswahili (Swahili) is the mother tongue of the Bantu people living in Zanzibar and nearby coastal Tanzania; although Kiswahili is Bantu in structure and origin, its vocabulary draws on a variety of sources including Arabic and English; it has become the lingua franca of central and eastern Africa; the first language of most people is one of the local languages | |
Religions: | |
mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim | |
Population: | |
46,912,768 (July 2012 est.) country comparison to the world: 28 note: estimates for this country explicitly take into account the effects of excess mortality due to AIDS; this can result in lower life expectancy, higher infant mortality, higher death rates, lower population growth rates, and changes in the distribution of population by age and sex than would otherwise be expected au hapa chini https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html | |
hizo data ni zipi? Je ni tofauti na zangu hapa chini?Hauwezi pata kinga bila kujua Ugonjwa, na wanasema "mficha maradhi,kifo humuumbua" Angalia takwimu zote mitandaoni za population density utaona uwiano wa dini almost ktk kila nchi. Hata Tz pia wameweka hizo fake data. Serikali imepinga hizo takwimu, kwanini wanaogopa kuweka takwimu za kweli?
Languages: | |
Kiswahili or Swahili (official), Kiunguja (name for Swahili in Zanzibar), English (official, primary language of commerce, administration, and higher education), Arabic (widely spoken in Zanzibar), many local languages note: Kiswahili (Swahili) is the mother tongue of the Bantu people living in Zanzibar and nearby coastal Tanzania; although Kiswahili is Bantu in structure and origin, its vocabulary draws on a variety of sources including Arabic and English; it has become the lingua franca of central and eastern Africa; the first language of most people is one of the local languages | |
Religions: | |
mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim | |
Population: | |
46,912,768 (July 2012 est.) country comparison to the world: 28 note: estimates for this country explicitly take into account the effects of excess mortality due to AIDS; this can result in lower life expectancy, higher infant mortality, higher death rates, lower population growth rates, and changes in the distribution of population by age and sex than would otherwise be expected au hapa chini https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html | |
Sijui kama ni sawa au tofauti, ndio maana tulitaka Sensa hii ingetupatia Jawabu sahihi.hizo data ni zipi? Je ni tofauti na zangu hapa chini?
Languages:
Kiswahili or Swahili (official), Kiunguja (name for Swahili in Zanzibar), English (official, primary language of commerce, administration, and higher education), Arabic (widely spoken in Zanzibar), many local languages
note: Kiswahili (Swahili) is the mother tongue of the Bantu people living in Zanzibar and nearby coastal Tanzania; although Kiswahili is Bantu in structure and origin, its vocabulary draws on a variety of sources including Arabic and English; it has become the lingua franca of central and eastern Africa; the first language of most people is one of the local languages
Religions:
mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim
Population:
46,912,768 (July 2012 est.)
country comparison to the world: 28 note: estimates for this country explicitly take into account the effects of excess mortality due to AIDS; this can result in lower life expectancy, higher infant mortality, higher death rates, lower population growth rates, and changes in the distribution of population by age and sex than would otherwise be expected
au hapa chini
https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html
Poor minded always discuss people. Wingi wa dini fulani na uchache utakusaidia nini kwenye mlo wako wa kila siku? Au wingi ndo kwenda peponi? Na hizo takwimu kama zilitolewa zilitokana na sensa? Kwa nini na waisilamu wasitumie namna ya kuhesabiana. malumbano ya simba na yanga ni uendawazimu. na nasema huyo ponda ni kichaa kati ya vichaa wanomsapoti. anawapelaka kuzimu.
Hii inasikitisha sana, Tanzania tunaenda wapi na udini huu, hivi viongozi wetu wako wapi wachukue hatua za maksudi kuepusha huu udini unaoenea kama moto wa kiangazi nyikani?, Hivi viongozi wetu hawaoni kuwa udini sasa umefikia hatua mbaya?. Sasa hebu ona huyu happy makuku, kumbe shida ni kujua wepi ni wengi kati ya waislamu na wakristo sasa ukijua halafu iweje, mtangaze taifa la kiislamu au?, au ikijulikana kuwa waislamu ni wengi ndio nini?utakuwa unaumwa, sensa na vitambulisho wapi na wapi, mlijitangazia mko wengi cha ajabu mnapinga vikali kipengele hicho kwa sababu kingewaumbua sasa hivi mnaleta mada za kiabunuasi kuua soo. ninyi kweli mmeishiwa hamna lolote. tangazeni tena mko wengi kuliko wapagani ila kwa waislamu mmenoa.
mkuu opaque sometimes inabidi uwe transparent,uruhusu ubongo uruhusu idea nyingine ziingie! Ponda hakugomea sensa kwasababu amependa,hoja yake kuu ilikuwa ni kuondoa utata wa kitakwimu uliochapishwa na vyanzo mbalimbali kalingana na dini za watanzania.sasa vitambulisho vya taifa vinahusikaje na ile hoja yake ya kwanza aliyoisimamia?
sijui kama ni sawa au tofauti, ndio maana tulitaka sensa hii ingetupatia jawabu sahihi.
Hapana mkuu usipite, wana jf tutafuteni solution ya udini, kama hakuna viongozi shupavu wa kupambana na udini ila tunao waku promote we cant just seat down and watch our country deteriorate kwa faida ya vizazi vyetu vijavyo we have to do something.Hii thread nikijibu chochote nakula BAN bora nipite tu hapa,
Fikra za udini ni mbaya kuliko kula nyama ya nguruwe!
Hii thread nikijibu chochote nakula BAN bora nipite tu hapa,
Hivi kuna tofauti yoyote kati ya Uislam na Ujinga?
Mkuu mkandala nakuheshimu sana ila naomba nireply kwa kuku quote, mkuu naomba basi utueleweshe umuhimu wa kujua wakristo wangapi na waislamu na wapagani ni wangapi, hii itasaidia nini katika umaana wa sensa?, je serikali ktk kutoa huduma itakuwa inaconsider uwiano wa dini?, au labda mimi binafsi sijaelewa huenda serikali inataka kujenga makanisa, misikiti na mahekalu kwa wanainchi wake ili ijue itajenga kwa uwiano gani?, sawa wewe mkandala umesema una dini, hiyo imani yako inanihusu nini mimi? ktk taifa la watu wazima dini ya mtu inamhusu nini mtu mwingine mpaka tuanze kuuliziana dini zetu, MKANDALA naomba utufafanulie.Mjinga ni wewe uloshindwa kuelewa umuhimu na maana ya sensa. Kipengele cha dini ktk kitambulisho hakina maana yoyote kwetu wala wewe kwa sababu kitambulisho hakilengi kupeleka maendeleo kwa wananchi. Maadam nchi yetu haina dini msitake kutuaminisha kwamba hata watu wake hawana dini - tunazo na tuhesabiwe.
Baada ya sheikh Ponda kuwashawishi wajinga wachache kugomea sensa kwa kigezo cha kutokuwapo kipengele cha dini katika madodoso ya sensa, sasa macho na masikio yanaelekezwa katika zoezi la vitambulisho vya taifa.
Swali la kujiuliza; je, Ponda (kama kweli ni raia wa Tz na anastahili kupewa ID) na wengine wenye msimamo mkali wa dini ya kiisilamu, watagomea kupokea vitambulisho vya taifa hadi kipepengele cha dini kijumuishwe?
Mjinga wewe na babako na mamako,mbwa koko wewe!
Muangila said:sisi waislam tuko wengi kwa sababu tunaoa wanawake zaidi ya mmoja hivyo hatujui nyota ya kijani tofauti na wenzetu wanooa mwanamke mmoja mpo hao........hili siyo suala la kujisifia mkuu.Hao watoto wengi mnakuwa na uwezo wa kuwasomesha wote na kuwalea katika mazingira safi? Ni vema kukumbuka kwamba hilo pia linachangia kushusha hadhi ya baadhi ya Waislamu pale wanaposhindwa kuwalea watoto wao na kuwaweka ktk mazingira ya ushindani wa ajira.