Maana yake ni kuwa Sita alipomaliza Muda wake na hatimaye amefariki bunge limekosa mwelekeo sahihi.
Huyo mlevi ni kama Bunge la sasa! Halina mwelekeo kwa kuwa limelewa madaraka. Linaenda ili mradi tuu.
Na hii ni baada ya Maneno ya mhe. Spika J. Ndugai juu ya madaraka yake bungeni.