Anatumia kazi ya sanaa na fasihi kufikisha ujumba. Kazi ya sanaa ni kama ifuatavyo:
- Kukosoa
- Kusifia
- Kuburudisha
- Kuelimisha
- Kutia moyo
- Kubadilika
- Kurekebisha
- Kukumbusha
- Kujihukumu
- Kujitadhimini
- Kujipima
- Kuwajibika
- Kuchukua hatua stahiki
- Kufichua
- Kuanika hadharani
- Kumboleza
- Kutia hamasa
- Kutetea
- n.k
Kama haya yoye yana msingi kwa watu na jamii kwa ujumla.....hawezi kuwekewa BAN!!!!!