Kipanya naye kwa uchokozi

I offer a Nobel Prize for this cartoon. No need a word more, to get a full understading of what is going on.
 
Lizabon ni wewe au nimekufananisha?Au kuna mtu amekuibia password yako?
katika watu wakweli kwa nafsi zao ni huyu Lizaboni ...."vikimzidi" huwa anawapa za uso tu na buku saba hachukui!:loco: Jus jokin!
 
Last edited by a moderator:
Mmm pinda anauwezo wa kumchakachua huyo akabakia kama kibua
 
katika watu wakweli kwa nafsi zao ni huyu Lizaboni ...."vikimzidi" huwa anawapa za uso tu na buku saba hachukui!:loco: Jus jokin!

Nilidhani baada ya kaskendo haka basi amepata WOKOVU ghafla haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:msela::msela:
 
Reactions: SMU
Masoud Kipanya ni Mwanaharakati wa Kweli haina Ubishi..Ndg yangu kamwe baki kwenye mstari wako wa kutetea WATZ Usijaribu kuingia kwenye chama chochote cha siasa ili tuwe sambamba kufumua haya maozo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…