Slaa na Magufuli wamezaliwa siku moja na mwezi mmoja
na wote ni wakatoliki.......connect the dots...wote wanamsikiliza Pengo...Lowassa na Gwajima
lowasa sio mkatoliki bali mke
wake
Slaa na Magufuli wamezaliwa siku moja na mwezi mmoja
na wote ni wakatoliki.......connect the dots...wote wanamsikiliza Pengo...Lowassa na Gwajima
Huyo pembeni yao ni nani vile?
Ukawa at work
Mmh, sijui kama ni kweli,Slaa na Magufuli wamezaliwa siku moja na mwezi mmoja
na wote ni wakatoliki.......connect the dots...wote wanamsikiliza Pengo...Lowassa na Gwajima
Sipati picha kama Masoud angekua mtu wa kaskazini....