Teeh teeh teeth 😁😁😁.....Yule kiboko wa michoro ya katuni leo tena amekuja na kitendawali kinacho hitaji kuteguliwa na wenye weledi.
Karibuni tukitegue je nikweli yasemwayo na huyo mwanafunzi?View attachment 1155771
Sio lazima afikie ulipifika waya, kuona tu waya unapoingia inatoshaHuyo mtoto anaye fuatilia huo waya sijui kama atarudi salama.
.... ..... ..... Ahaaa January...sawa nshaunganisha doti...ok let's wait and seeJuly Mkuu 😎
Hatari , Fire !Yule kiboko wa michoro ya katuni leo tena amekuja na kitendawali kinacho hitaji kuteguliwa na wenye weledi.
Karibuni tukitegue je nikweli yasemwayo na huyo mwanafunzi?View attachment 1155771
Yule kiboko wa michoro ya katuni leo tena amekuja na kitendawali kinacho hitaji kuteguliwa na wenye weledi.
Karibuni tukitegue je nikweli yasemwayo na huyo mwanafunzi?View attachment 1155771
Umepatia kwa mwenye kipaza sauti tu!View attachment 1155790
Kipanya saafi sana. This is a very strong message to Tanzanians..!!!
Huyo mwenye kipaaza sauti si mwingine baali ni Cyprian Musiba.
Mwenye kijani ni Mwenyekiti wa MafisiCCM badala ya kuchukua hatua na kumhoji huyo mwenye Kisemeo wanamshangaa kijana wa Shule(a.k.a Kipanya)...!!!Hii nchi kweli imerogwa na mchawi wake keshafariki dunia...!!!
Umepatia kwa mwenye kipaza sauti tu!
Lakini kwa mwanafunzi na huyo mwenye kijani, umechemka
Teeh teeh teeth.....
Dogo yuko very sure kabisa kuwa anakwenda ku - disconnect waya kutoka "chanzo cha sauti" inayokuja kwenye kipaza sauti a.k.a speaker maana ndani ya begi likely kuna plaiz, bisbis, spanner, tester na kila kitu...!!
View attachment 1155790
Kipanya saafi sana. This is a very strong message to Tanzanians..!!!
Huyo mwenye kipaaza sauti si mwingine baali ni Cyprian Musiba.
Mwenye kijani ni Mwenyekiti wa MafisiCCM badala ya kuchukua hatua na kumhoji huyo mwenye Kisemeo wanamshangaa kijana wa Shule(a.k.a Kipanya)...!!!Hii nchi kweli imerogwa na mchawi wake keshafariki dunia...!!!