Newword
JF-Expert Member
- Dec 2, 2019
- 326
- 304
Nimechunguza hii katuni sijan'gamua kitu.Hivi Masoud anatoa Ujumbe gani hapa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mpk nimeileta huku mi naoa kizungu Zungu tuuuna mimi pamoja na kutoa kote Macho sijaambulia kitu ,wacha tuwasubiri wenye Akili kubwa wasaidie kung'amua hili.
Nimechunguza hii katuni sijan'gamua kitu.Hivi Masoud anatoa Ujumbe gani hapa??View attachment 1301506
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimechunguza hii katuni sijan'gamua kitu.Hivi Masoud anatoa Ujumbe gani hapa??View attachment 1301506
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona ni fumbo nyanya kabisa. Kauka nikuvae.
Kwamba chadema hawana mtu zaidi ya Mbowe wa kuchaguliwa kuwa mwenyekit?
Unajua nguo 1 inafuliwa usiku ili kukicha uivae
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hapo ni ile kauli "Kauka nikuvae, pasuka nikushone"
Hii inahusu watu wenye nguo moja tu, yaani ikichafuka inafuliwa na kuvaliwa tena.
Sasa Chadema viongozi wao ni kama "kauka nikuvae"/Viongozi ni wale wale kauka nikuvae chanika nikushone.
Licha ya Chadema kufanya uchaguzi wa kuwapata viongozi, viongozi waliochaguliwa ni wale wale.
Kanzu mpya sheikh yule yule.
Sent using Jamii Forums mobile app