Kwan unateseka?Sasa yanini kutuletea hapa jukwaani
TwaaafwaaaaAnamaanisha kuwa kuna hatari ya polisi kuanza kukusanya mapato kinyume na sheria za barabarani kwa lengo tu la kufikisha makadirio ya makusanyo waliopangiwa ambayo mara nyingi hayaakisi kiwango halisi,yaani makadirio ni makubwa kuliko hali halisi.
Hili jambo sidhani kama wenye mamlaka watakuwa wamelitazama kwa jicho la pili.Kina hatari kubwa ya Askari wa usalama barabarani kuanza kubambikia watu makosa ili wafikie lengo waliloweka
Hayo ni malaengo ya serikali kuhakikisha kila Taasisi na Idara kubuni njia mpya za mapato na kujiendesha wenyeweHili jambo sidhani kama wenye mamlaka watakuwa wamelitazama kwa jicho la pili.
Kwa kupewa malengo ya ukusanyaji itawapelekea ma traffic kubambikia madreva makosa ili mradi muamala usome.
Hao dawa yao ni kuwaendea na zile za moto tu hakuna haja ya kumuonea huruma dhurumati kama haoKuna wale polisi wanakaa pale salenda na wengine wanakaa pale akiba.
Wakiona gari la mzigo wanadai risiti za mzigo na kuanza kukuuliza Bei Za vitu.
Mwisho wanakwambia hela ya kwenye risiti ni tofauti na thamani ya mzigo.
Hapo wanataka HELA.Tra wangaalieni Hawa polisi wamekuwa wanonea sana watu.bora mkae wenyewe.
watu wa tra ni waelewa lakini hao polisi wakisimamisha gari lazime watake hela.
HYO NI RUSHWA
Hao dawa yao ni kuwaendea na zile za moto tu hakuna haja ya kumuonea huruma dhurumati kama hao
Kama hujabambikiwa shukuru MunguHili jambo sidhani kama wenye mamlaka watakuwa wamelitazama kwa jicho la pili.
Kwa kupewa malengo ya ukusanyaji itawapelekea ma traffic kubambikia madreva makosa ili mradi muamala usome.
Duh kumbe maanaake nikuwa fine za Barabarani ni chanzo tegemewa cha mapeto mpaka kiwekewe target kama sales man.Anamaanisha kuwa kuna hatari ya polisi kuanza kukusanya mapato kinyume na sheria za barabarani kwa lengo tu la kufikisha makadirio ya makusanyo waliopangiwa ambayo mara nyingi hayaakisi kiwango halisi, yaani makadirio ni makubwa kuliko hali halisi.