Kipangula: Mwandishi wa habari kutoka nje ya nchi anapaswa kupata Ithibati

Kipangula: Mwandishi wa habari kutoka nje ya nchi anapaswa kupata Ithibati

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Patrick Kipangula- Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bodi ya Ithibati ya waandishi wa habari Tanzania (JAB) anasema vyombo vya habari vya nje havikufuata utaratibu wakati wa kuripoti matukio ya Oktoba 29 nchini.
 
Back
Top Bottom