Kipandikizi kinamtesa mke wangu, tumbo linamuuma na haoni siku zake

UMUNYU

JF-Expert Member
Jan 28, 2017
685
484
Mimi ni kaka yenu nina mpenzi tumefanikiwa kupata mtoto ambaye tunataka kabla ya mwingine kupatikana huyu awe ni mkubwa angalau miaka mitatu. Sasa katika kuitimiza ahadi hiyo wifi yenu aliwekewa kile kipandikizi pale kwenye mkono.

Sasa tumbo linamsumbua sana na ugonjwa hauonekani. Pia kichwa ndo usiseme.
Ajabu huu ni mwezi wa 10 hajaona siku zake.

Akina dada nishaurini nini nifanye haraka. Maana alivyo mpaka ninaogopa.

Upande wenu nyie huwa inakuwaje?
 
Akakitoe kimemkataa in short Hakuna njia salama ya uzazi wa mpango cha msingi tumieni condoms au withdraw ni Nzuri na mtakuwa na uhakika wa kupata mimba ingine pindi mtakapohitaji
Hapo kwenye kondom ndiyo mtihani mkubwa kwangu,labda hiyo withdraw naomba unieleweshe ni nini na inafanywaje?
 
ningekupa ushauri ila sababu ushatutenga wanaume (Title yako) basi acha niangalie tu..!!!!!
Sijawatenga,isipokuwa lazima tuwe wa kweli.Njia za uzazi wa mpango ziko kwa ajili yetu sote.LAKINI mara nyingi sisi wanaume huwa tunawaachia wanawake ndiyo wafanyiwe vitu hivyo tu!!!
 
Hadi unaomba ushauri humu ulishaenda hospital akashindwa kutibiwa?
Hospital wanampa dawa za kutuliza maumivu.Ila ameshawaambia kuwa aliwekewa hicho kinani-hiii,na ana mashaka huenda ndiyo chanzo cha tatizo!!!
 
Toeni hiyo kitu mara moja,fanya mazoezi kupunguza mahitaji ya huduma ya mama kila saa halafu ikitokea chagueni siku salama,hivo vitu vitawapa shida sana
 
Hapo kwenye kondom ndiyo mtihani mkubwa kwangu,labda hiyo withdraw naomba unieleweshe ni nini na inafanywaje?
hii imenifanya nichekee kidogo mkuu!

ila iko hv nendeni hosp!

hyo inafanywa hivi,ukishatia ukikaribia kufika kileleni mwanaume unatoa dudu(dushe ama mboo) ukeni unamwaga nje...angalizo wachache tu ndo wanaoweza!

NJIA ZA UZAZI WA MPANGO NI KIFO KIFO KIFOOOOOO isipokuwa ile yakutumia KALENDA kwa mwanamke,condoms japo nazo siziamini na withdraw yaani kumwaga njeeee!

ukishangaa huji kupata mtoto ng'ooooooooooooo utabaki na mmoja tu km dawa.
 
Akakitoe kimemkataa in short Hakuna njia salama ya uzazi wa mpango cha msingi tumieni condoms au withdraw ni Nzuri na mtakuwa na uhakika wa kupata mimba ingine pindi mtakapohitaji
Hivi unaweza kutumia cndm ukiwa na mumeo?
 
hii imenifanya nichekee kidogo mkuu!

ila iko hv nendeni hosp!

hyo inafanywa hivi,ukishatia ukikaribia kufika kileleni mwanaume unatoa dudu(dushe ama ****) ukeni unamwaga nje...angalizo wachache tu ndo wanaoweza!

NJIA ZA UZAZI WA MPANGO NI KIFO KIFO KIFOOOOOO isipokuwa ile yakutumia KALENDA kwa mwanamke,condoms japo nazo siziamini na withdraw yaani kumwaga njeeee!

ukishangaa huji kupata mtoto ng'ooooooooooooo utabaki na mmoja tu km dawa.
DU,MBONA UMENITISHA SANA!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom