Kupata maumivu chini ya mbavu changa ni dalili za magonjwa yafuatayo
1.Mimba ya nje ya kizazi
2.Uvimbe kwenye ovaries
3.Maambukizi katika mirija ya uzazi...
yaaah inawezekana, ila Mara chache, Mara nyingi uvimbe kwenye ovaries unasababisha kutokwa na damu nyingi au kupata mzunguko usioeleweka au kupata damu ya kidogo kidogo(spoting) sisi wataalamu tunamsemo unaitwa magonjwa hayasomi vitabu kwhy dalili ya kukosa hedhi ni uwezekano wa kuwa na uvimbe zaidi ya mmoja (polycystic ovarian syndrome)Daktari, asante. Umefafanua kuhusu maumivu vipi kuhusu kukosa hedhi, kunaweza sababishwa na hayo mambo mengine mawili ukiacha mimba nje ya kizazi ?