robertmpumilwa
Member
- May 15, 2016
- 46
- 13
msaada jamn tv yangu imevunjika kioo ni samsung smart inch 43.naweza pata wapi na kwa bei gani? Msaada hapo.
Atapata sema bei yake ni kama kanunua TV nyingne kama hio used clean na Bei tofauti kdg na tv mpya kama hio...Simply hupati
hii naweza uza bei gani kiushauri etiiBei ya kioo ni bora ununue tv mpya