Hisense ni bei rahisi ubora rahisi. Ni kama tecno au itel phoneskua na akili wewe, ulishaona tv inavunjika kioo yenyewe? mpaka inavunjika jua imegongwa. huwez funga tv ukutani eti itoke urud uje ukute imevunjika au uweke mezani ivunjike tu yenyewe. kama una mtoto matundu yanavunja hizo ni shida zako au ww ni mlevi ukilewa ni full vurugu halafu unasahau ulifanya nn basi acha huo ujinga. hakuna kioo cha tv inavunjika chenyewe. angalia tv zote zilizovunjika lazma utaona kiligongwa wapi. haya kama kuna mtu humu tv yake ilivunjuka kioo yenyewe anyooshe mkono.
mwisho nikusaidie utajua bado mshamba. Kw ss tv inayouzwa sana Tanzania ni hisense. na hizo Samsung na LG hazinunuliw sana.
sasa chukulia kwa mwez huu hisense zmeuzwa PC 100000, Samsung PC 10000, lg PC 30000. unafikiri matatizo mengi atapata wateja wa kampuni ipi? automatic itakua hisense. ila hata hao Samsung au makampuni mengine yakiuza tv nyingi kushinda wengine nao watakua na matatizo mengi vile vile. sikupi elimu tena. mlevi ww.
Kariakoo kaka zipo mpaka za laki moja na nusu ya Uganda.Hisense 4k 58" inauzwa 620,000?
Ongezea nyamaHisense ni kama techno tu
Ulifanikiwa kupata kioo?Hata Mimi natafuta kioo cha hisense 40".
Akili kisoda.kua na akili wewe, ulishaona tv inavunjika kioo yenyewe? mpaka inavunjika jua imegongwa. huwez funga tv ukutani eti itoke urud uje ukute imevunjika au uweke mezani ivunjike tu yenyewe. kama una mtoto matundu yanavunja hizo ni shida zako au ww ni mlevi ukilewa ni full vurugu halafu unasahau ulifanya nn basi acha huo ujinga. hakuna kioo cha tv inavunjika chenyewe. angalia tv zote zilizovunjika lazma utaona kiligongwa wapi. haya kama kuna mtu humu tv yake ilivunjuka kioo yenyewe anyooshe mkono.
mwisho nikusaidie utajua bado mshamba. Kw ss tv inayouzwa sana Tanzania ni hisense. na hizo Samsung na LG hazinunuliw sana.
sasa chukulia kwa mwez huu hisense zmeuzwa PC 100000, Samsung PC 10000, lg PC 30000. unafikiri matatizo mengi atapata wateja wa kampuni ipi? automatic itakua hisense. ila hata hao Samsung au makampuni mengine yakiuza tv nyingi kushinda wengine nao watakua na matatizo mengi vile vile. sikupi elimu tena. mlevi ww.
Nakubaliana nawe maana kuna kipindi nilitaka Hisense 55 ilikuwa juu ya laki 8 .sasa iweje 58 inch iwe laki 6Hata 43 nch haupati kwa hiyo bei
Akili kisoda wapi sema umemshindwa jamaa kwa hoja.Akili kisoda
Kioo kinatokana na model na model. Ila kama ni cha kubadilisha na hukipati kwa wakala mwenyewe possibility kubwa kikawa na Quality ndogo kushinda original.Chief-Mkwawa tusaidie ubora wa vioo kwenye TV kama Hisense na TV za makampuni tuliyoyazoea ya Samsung na LG.
Mkuu hisense 58 kwa bei hiyo ni Used au??Hisense 4k 58" inauzwa 620,000?
Ulifanikiwa kupata kioo?
Ni bora ununue tv mpya tu mkuunami natafuta kioo cha hisense inch 42"
Bei ya kioo mara nyingi unakuta inakaribiana na bei ya tv mpya.Bado mkuu, unacho tuzungumze?