Tata ya bana
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 304
- 369
Hello wakuu naomba kujua sifa au vigezo vya kiongozi wa mwenge.
Lazima uwe Jwtz halafu cheo cha Lt.Hello wakuu naomba kujua sifa au vigezo vya kiongozi wa mwenge.
Mkuu Asante ila vigezo zaidi???kuwa na kadi ya kijani
Asante mkuuLazima uwe Jwtz halafu cheo cha Lt.
🤣Uwe kiazi kiazi hivi
uwe na akili mnemba tuMkuu Asante ila vigezo zaidi???
Sio lazima..Lazima uwe Jwtz halafu cheo cha Lt.
SI kwelLazima uwe Jwtz halafu cheo cha Lt.
Ko na Kenani Kihongosi alikua Luteni?Lazima uwe Jwtz halafu cheo cha Lt.
Simjui back ground yake huyo ulomtaja.Ko na Kenani Kihongosi alikua Luteni?
Sio lazimaLazima uwe Jwtz halafu cheo cha Lt.