EMMANUEL SHOMBE
Member
- Oct 2, 2009
- 89
- 0
nimesikia kuwa ameokoka ni kweli?
nimesikia kuwa ameokoka ni kweli?
Smatta,
..hivi una uhakika kwamba alikuwa jela huyo?
..unajua huko Bongo mtu aliyetoka jela huwa hafanani hivyo.
..inawezekana wenzetu Kenya mna jela nzuri sana.
Akajibu kwanza mashtaka ya mauaji..mahakamani huko akiendelea kwenye njia yake aliyoamua..Yes he is a follower of Jeus Christ.
Akajibu kwanza mashtaka ya mauaji..mahakamani huko akiendelea kwenye njia yake aliyoamua..
Maxshimba bwanaa!!!..haya nakuachia ukumbi.
Hata hivyo hii ishu is more than this man getting saved. His life is in
real danger from the big dogs of Kenya's political landscape and he needs
help. Hata kama ni kutoka nje ya nchi akasema yale anayojua. These news
conferences will not suffice. Jamaa wakiamua wanamuua then kwisha gemu.
Thats Kenya's political landscape as it is.
Mkuu, chakushanga, huyu bwana wanaweza kumpa Ubunge,
Upo sawa Mkuu, his life is at jeopady. But there is a Creator!
word. its that bad, he's the darling of the cameras now, wait till he blubbers something stupid, all the cross-hairs will be pointed at him and they will mean business. jamaa wife yake aliuliwa vibaya, cold blooded, he knows what he's dealing with, he's not dumb, the dude started a sect that now peak more than two milli followers, and has businesses worth hundreds of millions, so he's a calculating young man, he's not gonna go down easily.
Smatta,
I remember the death of his wife na swali langu linakuja hivi,
....was it the Gover ama his fellow goons maana nasikia alikua na
mihela kibao amekataa kusamabaza?
Maxshimba bwanaa!!!..haya nakuachia ukumbi.
Hata hivyo hii ishu is more than this man getting saved. His life is in
real danger from the big dogs of Kenya's political landscape and he needs
help. Hata kama ni kutoka nje ya nchi akasema yale anayojua. These news
conferences will not suffice. Jamaa wakiamua wanamuua then kwisha gemu.
Thats Kenya's political landscape as it is.