bulicheka 3
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 599
- 556
Hiyo picha ina bwana na bibi vipi tena Watanzania Kazi IpoUthibitisho
Hiyo picha ina bwana na bibi vipi tena Watanzania Kazi IpoUthibitisho
Ukiona hivyo ujue kwenye mazishi yake kulikuwa na marufuku ya kupiga picha, ili kuficha hili tulio, huoni ndugu kaandika RIP dad, kuonyesha kuwa katika hao wawili mmoja hatunaye tena.Hiyo picha ina bwana na bibi vipi tena Watanzania Kazi Ipo
'Josephine' hili ni jina la kike mkuuUkiona hivyo ujue kwenye mazishi yake kulikuwa na marufuku ya kupiga picha, ili kuficha hili tulio, huoni ndugu kaandika RIP dad, kuonyesha kuwa katika hao wawili mmoja hatunaye tena.
'Josephine' hili ni jina la kike mkuu
Kumbe ana watoto!!!Uthibitisho
AiseeMkuu hebu tuendelee kuchimbaView attachment 1184857
hii ni ni send off party ya binti wa marehemu anaitwa Josephine Nyaulingo.'Josephine' hili ni jina la kike mkuu
na simba wakitoka suluhu ya goli 1-1 wanaaga dah .na mie nimechanganya jukwaa kukujibuDah nimechemsha wakuu. Yanga wakitoka suluhu ya bila kufungana wanaaga nao. Wanatakiwa watoke angalau 2-2.
Samahani kwa usumbufu
Si unajua jumatatu asubuhi mambo mengi mkuuna simba wakitoka suluhu ya goli 1-1 wanaaga dah .na mie nimechanganya jukwaa kukujibu
Tuwekee picha ya Nyaulingo aliyehai usituzuge.Ulisema Nyaulingo kafa. Wewe jamaa muongo sana. Au ndo unatafuta sababu za kuombea ukimbizi Scotland?
Sasa hivi inakunwa 0713Tuwekee picha ya Nyaulingo aliyehai usituzuge.
Speaking of 'Josephine'?Dad ni mwanamke? au hulioni hilo neno RIP dad?
Hii inawezekanaje watu wapo msibani halafu wakati huo huo wafanye 'send off'?hii ni ni send off party ya binti wa marehemu anaitwa Josephine Nyaulingo.
swali lingine??
jf + twitter= mkanganyiko.Hii inawezekanaje watu wapo msibani halafu wakati huo huo wafanye 'send off'?
Kaenda kutibiwa nje..Sijui kwanini nimemkumbuka Gavana wetu kipenzi Daud Balaahili.
Tulizuiliwa kwenda kumzika!
Nina mashaka Nyaulingo keshawekwa mtu kati na udongo.
RIP Dr. Remmy Ongala
unaongea na mimi au unaongea na simu??Hii inawezekanaje watu wapo msibani halafu wakati huo huo wafanye 'send off'?
Kwa hiyo William Malecela aka Le mutuz siku hizi ni mjakazi wa Paulo aka Bashite kwenye mambo ya ndumba? Huyu ukweli ni mtoto wa mzee Chigwemisye? Mbona kama kaachwa apuyange hovyo hovyo na haendani na sifa ya baba yake au Dada zake tunaowajua?Le mutuz hapa marekani alikuwa akija na hirizi ni mshirikina tokea zamani na sasa ndiye hutumwa na Bashite kwenda sehemu mbalimbali Duniani kuleta Waganda wa kienyeji, mtafute huko Dsm kaa nae haipiti Dakika moja lazima aongelee ndumba hafai hata kidogo.