NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,529
- 17,440
Ndugu nyenzi nae kamfuata azory gwanda who disapeared and died!!
Asante kigogo kwa taarifa!!anaefuata!Bashite,meko na wale 32 waliolazwa kwenye hospitali yao wakiugua mafua mapya!!eti anakula Mtori si ajabu kukuta wapo wanaowatetea, sisi wengine tusubiri muda si mrefu
tendeni wema malipo hapahapa binadamu jamani
haya kuna mwingine wameshazika Mbeya huko
View attachment 1460344
Mshkaji karud mtaan yuko fit haswaa almost a mon ss.Though inasemekana anaweza asirud kwenye field operation lakin yuko 98% fit na wadau washamuona na kupiga nae story.Na family yake pia kwasasa imeonekana kurud mtaani baada ya muda flan ku disapear baada ya ile accidentHatimaye mgonjwa wetu kiongozi wa wasiojulikana Bwana Ephraim Nyaulingo kafa kama wanavyokufa wengine kweli unaua wenzio kumbe nawe siku yako inafika unakufa kwa maumivu mengi bila kujielewa.
Uko sahh mkuu.Nimepewa hii "nyepes" toka kwa mdau around around kitaa cha huyu jembeNi mzima na uzima wake kabisa, sasa anakula mtori kwa kwenda mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Lissu bafo yupo? Mbona amekuwa kimya? Au yupo MIGA!Lissu alisomewa dua
Shauri zao wanaokula njama dhidi yake
AhahahahHivi israili anakosea wapi siku hizi?
Katoka na yuko mtaan kwa sasaTaarifa za uhakika jamaa yupo hai anaendelea na matibabu.
T L aliisharudi? Ahahahahahahh!Naam,
Bwana E N amekutana na ‘Mkono wa Bwana’ jana jioni akitokea Bagamoyo.
Bonge la ajali! Miguu yote miwili kwishney.
Inadaiwa huyu ndiye huongoza operesheni za kuwaumiza watanzania.
Inavyoelezwa, ni beyond repair labda apelekwe ng’ambo. Akipelekwa huko pia tutawadondoshea kinachozidi kumkuta.
Ni siku chache kabla ya kurejea kwa Bwana T L.
Kumbuka, bwana mwingine almaarufu ‘Makichwa’ alikutana na ‘Mkono wa Bwana’ akanyakuliwa wakati Boss Kubwa akiwa ziarani Mbeya. Makichwa anadaiwa kuwa ndiye alikuwa ‘mashine ya kazi’.
Eid Mubarak
Huyu ndio "nyau"?eti anakula Mtori si ajabu kukuta wapo wanaowatetea, sisi wengine tusubiri muda si mrefu
tendeni wema malipo hapahapa binadamu jamani
haya kuna mwingine wameshazika Mbeya huko
View attachment 1460344
Hatariiiiiiii!
hapana huyu ni mwingine kabisa lkn ni maalum kwa rob wale waote wasioendana na upepd, ndiye aliyetengeneza waraka wa wale kina mama kudhalilishwa kingonoHuyu ndio "nyau"?
Sema watu waovu ni wagumu Sana kufa me nilitegemea corona ingeondoka nao lakini inaondoka na watu wema zaidiNdugu nyenzi nae kamfuata azory gwanda who disapeared and died!!
Anayetuleta duniani ndio anayeweza kutuchukua pasipo mjadala na yeyote yule
Sasa aliekufa Ni Nani?, Ephraim nyenzi au Ephraim nyaulingo?,maana mnatuchanganganya