GE2025 Kiongozi wa Jamii ya Maasai: Uchaguzi utakuwa huru na haki

GE2025 Kiongozi wa Jamii ya Maasai: Uchaguzi utakuwa huru na haki

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Isak Lekisongo Meigio Kiongozi wa Jamii ya Masaai Tanzania na Mjumbe wa Kamati ya Machifu Tanzania amewaondoa wasiwasi wananchi kuwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 utakuwa ni huru na haki

Amewataka wananchi wenye sifa kushiriki ipasavyo katika kuchagua Viongozi wanaowataka kwa amani na uhuru


 
Huyu ni fala!
Amekula hela huyu, kwa wanayofanyiwa wenzake huko Ngorongoro mhh!
Huyu ni mhuni kama wengine
 
Isak Lekisongo Meigio Kiongozi wa Jamii ya Masaai Tanzania na Mjumbe wa Kamati ya Machifu Tanzania amewaondoa wasiwasi wananchi kuwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 utakuwa ni huru na haki

Amewataka wananchi wenye sifa kushiriki ipasavyo katika kuchagua Viongozi wanaowataka kwa amani na uhuru


Je tutarejeshwa kutoka Msowero hadi motherland ngorongoro?
 
Back
Top Bottom