Kiongozi aliyefanya mapinduzi ya kijeshi mara mbili

Kiongozi aliyefanya mapinduzi ya kijeshi mara mbili

C.K

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
394
Reaction score
166
Naomba anayefahamu jina na nchi anakotokea kiongozi aliyewahi kufanya mapinduzi ya kijeshi mara mbili... (Nahisi kama ni kutoka nchi za amerika kusini but sina uhakika wala details).. Anayemfahamu tafadhali anidetail
 
Naomba anayefahamu jina na nchi anakotokea kiongozi aliyewahi kufanya mapinduzi ya kijeshi mara mbili... (Nahisi kama ni kutoka nchi za amerika kusini but sina uhakika wala details).. Anayemfahamu tafadhali anidetail

Olusugunu Obasanjo wa Nigeria
 
Sioni haja ya kukutafutia kwakuwa sioni umuhimu wake kwetu.
 
Mzee C.K unataka kujifunza mbinu zake nini,
 
Last edited by a moderator:
Da sasa mtu hata kutype kwenye google ikakupa data unaona uvivu....do
 
Kwahiyo hata ukiambiwa huyu ni baba yako wewe unaenda kumgoogle kama ndio yeye sio?Mbona watanzania mmekuwa wavivu kufikiri kiasi hicho au shule ya ugoko nini?
 
C.K, CAT5,

..how about Sani Abacha wa Nigeria?
 
Last edited by a moderator:
Buyoya na Sasou Nguesso sijui kama jina la pili nimepatia, wanahusika sana na huu uzi, nchi zao ni Burundi na Congo-Brazzavile.
 
Naomba anayefahamu jina na nchi anakotokea kiongozi aliyewahi kufanya mapinduzi ya kijeshi mara mbili... (Nahisi kama ni kutoka nchi za amerika kusini but sina uhakika wala details).. Anayemfahamu tafadhali anidetail

what a silly question? why ask if you can google.
 
Naomba anayefahamu jina na nchi anakotokea kiongozi aliyewahi kufanya mapinduzi ya kijeshi mara mbili... (Nahisi kama ni kutoka nchi za amerika kusini but sina uhakika wala details).. Anayemfahamu tafadhali anidetail

Piere Buyoya wa Burundi - Mwaka 1987 alimpindua Rais Jean Baptiste Bagaza akwa raisi wa Burundi mpaka mwaka 1992 alishindwa kwenye uchaguzi wa vyama vingi na Rais Melchior Ndadaye then mwaka 1996 akaingia madarakani kwa kumpindua Rais Sylvestre Ntibantunganya
 
Hata Pierre Buyoya wa Burundi alimpindua Jean Baptist Bagaza naye akatolewa kwa njia ya Uchaguzi na Melchior Ndadaye Baada ya kuuliwa Ndadaye Sylivester Ntibantunganya akashika nchi kama Speaker wa Bunge na Baadae akapinduliwa na Pierre Buyoya hivyo na pierre Buyoya wa Burundi amefanya mapinduzi ya kijeshi mara mbili.
 
Hata Pierre Buyoya wa Burundi alimpindua Jean Baptist Bagaza naye akatolewa kwa njia ya Uchaguzi na Melchior Ndadaye Baada ya kuuliwa Ndadaye Sylivester Ntibantunganya akashika nchi kama Speaker wa Bunge na Baadae akapinduliwa na Pierre Buyoya hivyo na pierre Buyoya wa Burundi amefanya mapinduzi ya kijeshi mara mbili.

Asanteni wadau wote mliorespond positively.., na nyie pia mliorespond negatively nawashukuru kwani nimewapokea positively.. But aliyesema hata akiwa ni baba yako... nimemsamehe tu. THANKS PEOPLE
 
jeshi la Misri linalotarajia kufanya mapinduzi muda wowote kuanzia sasa!!!!! ikumbukwe pia lilimpindua Rais aliyepita Mubarak
 
Kwahiyo hata ukiambiwa huyu ni baba yako wewe unaenda kumgoogle kama ndio yeye sio?Mbona watanzania mmekuwa wavivu kufikiri kiasi hicho au shule ya ugoko nini?

Napenda sana watu watumie akili zao na kuacha utegemezi wa google and the like lakini katika hili nitapingana na wewe!
Jambo analoulizia ni taarifa, hauwezi ukapata taarifa kwa kufikiria! Fikra zinatumika katika uvumbuzi wa kanuni mpya, utatuzi wa matatizo, uchambuzi wa taaarifa n.k! Google kwa leo ni sawa na kwenda maktaba enzi zile.
 
Back
Top Bottom