Kinywaji cha Mofaya cha Ali Kiba

Kinywaji cha Mofaya cha Ali Kiba

kiben10

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
615
Reaction score
791
Kwa hili alilofanya@officialalikiba leo la kuzindua kinywaji chake cha [HASHTAG]#MOFAYA[/HASHTAG] DRINK kinampaisha vipi katika maendeleo yake binafsi na kimusic?

Sasa hapa najua Diamond atanuna kwa hichi kikubwa alichofanya leo KING ila tunajua DIAMOND KARANGA za @josephkusanga wa CLOUDS.

Team Kiba naona wamepata pa Kuhemea vipi wewe mdau unalionaje hili jambo la ALIKIBA kuzindua kinywaji chake kinampandisha vipi kwa Music na Kifweza???
shilolekiuno_official_1525039286529.jpg
 
Hii mofaya ni kampuni ya south kwa wale ambao mshaenda south hamtanibishiaaa ilaa alichofanya alikiba ni kuweka jina lake tu coz zinafanana each and everythin sa hapa siwelewi kama ni kaingiaa ubiaa au ni ammbassador wao .......all in all congr kiba
May be Ali kakinunua kiwanda siunajua jamaa ni King
 
Utakaposikia mmiliki ni mwingine ndipo utaelewa dunia inaenda kwa mikakati
 
Akili za watz buanaa! Yaani ww hujiulizi hicho kiwanda alikijenga lini!?? Msanii wa tz akijenga kiwanda watu mtajua kuanzia tofali la kwanza...!! Huyo balozi tu...
 
Kumbe haujielew. Kinacho fanyika hapa ni swala la fans base kama unafans wengi unaenda kiwanda chochote unaingia nao mkataba wanatengeneza kinywaj au kitu chochote kwa jina ulalo dhan litakua bora then malipo ni kwa parcent big up to @alikiba.
 
Kumbe haujielew. Kinacho fanyika hapa ni swala la fans base kama unafans wengi unaenda kiwanda chochote unaingia nao mkataba wanatengeneza kinywaj au kitu chochote kwa jina ulalo dhan litakua bora then malipo ni kwa parcent big up to @alikiba.
IMG_5774.JPG
 
Hii mofaya ni kampuni ya south kwa wale ambao mshaenda south hamtanibishiaaa ilaa alichofanya alikiba ni kuweka jina lake tu coz zinafanana each and everythin sa hapa siwelewi kama ni kaingiaa ubiaa au ni ammbassador wao .......all in all congr kiba
Kweli tupu
 
Nimegundua mengi ktk comments za hapa. Ukifanikiwa unakua na maadui wengi kuliko ukifeli (unfki).

Sio lazima uwe na kiwanda it is a franchise business. Hata McDonalds, KFC, subways zilizotapakaa dunia nzima ni franchise za watu tofauti.

Franchise business ni kitu kipya kwetu lakini kwa wenzetu ndio mfumo pendwa wa biashara.

Go Kiba, hata Diamond kuwa balozi ana partner wa perfume, Katanga TV its a huge step kwa vijana wa umri na background zao.

NB. Kuwa inspired usichukie.
 
Umenikumbusha ujio wa kuprint majina kwenye makopo ya soda za cocacola... Lemutuz Basi akajiona yeye ndo yeye jina lake kuwekwa... Hahahaha, within a month, kila aliyekwenda mlimani city alirudi na kopo lenye jina lake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom