Kirusi hakiwezi kukaa chenyewe zaidi ya sekunde tano, labda kiwe kwenye mazingira ya damu,, ukimwi huambukizwa kama kunakua na direct contact na muathirika,,, mashine haiwezi ambukiza ila huwa wanashauri iwe stererized ili kuzuia na magonjwa mengine kam ngoz, mmba etc