Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Nikitambo sana tangu kuandika hapa kwenye JF, the reason behind is the forum became sold out.However, leo nimeamua kuandika kwa nini Kinondoni wamchague Mpoki Mwambulukutu.
.......
Tanzania need people who understand development, because we're still developing and Mpoki knows development inside out.
AS mentioned, Hata mimi nadhani Mpoki Deserve. Alisoma Ilboru Seconadry in 90's na wakati huo kulikiuwa na watoto wengi walirudi kusoma nchini toka nje ya nchi, hakuwa na classes kama wengine, was friendly na mtu wa watu
CV ni jambo moja, na kudeliver ni la pili. Lakini kwa ufupi ni design ya watu ambao ni promising, ambao tungependa wawe wabunge. The problem is inaweza kuja kuwa design ya wengine waliotoka Marekani. Tulikuwa na matumaini makubwa lakini wakabadilika kuja kuwa wezi wakubwa na wababaishaji, kazi yao ikawa ni kujidai na kutembea ovyo na wanawake. He is promising yes, lakini we have to wait and hear more from him or evn know more from him before endorsing him. Lakini for sure he is much much better than the current one.
Sure, Balali alisoma, kufanya kazi na kuishi USA for decades lakini aliporudi kuwa gavana ndio alikuwa mwizi mkubwa akishikiana na majambazi akina Kagoda, Jeet Patel etc. Kwa hiyo kuishi na kuwa na exposure ya nje si issue hata vijana wanaoiba sana Barclays na Standard Chatered Banks ni walisoma UK na USA
Bongolander said:NI kweli mkuu, angalia waliosoma vyuo vinavyosifiwa duniani? wamekaa kwenye uongozi kwa muda mrefu. Look at them, rotten to the core. Kama ingekuwa kuishi west na kuwa na elimu nzuri Mkapa aliqualify sana. Lived in US for like 10 years, went to Makerere (the best at his time) and Columbia Universities (one of the best in USA), lakini angalia sasa. EPA, Kiwira, ndege Radar etc. Look at mzee wa vijisenti elimu nzuri, lakini arrogant na amejiwekea vijisenti vya ufisadi ng'ambo. So kusihi na kupata e,imu nzuri ya west si sababu ya kuwa kiongozi anayefaa.
Bongolander,
..nadhani kuishi nje peke yake siyo kigezo kikuu cha kumpa mgombea uongozi.
..nadhani tunapaswa kuwa makini zaidi ktk kuchagua viongozi kuliko ku-base kwenye upinzani wa walioishi nje vs walioshi nyumbani.
..mgombea anapaswa kuwa na sifa za ziada juu ya kufanya kazi na kusoma nje ya nchi.
..kuna tatizo kubwa sana hapa Tanzania na limeshindikana kutatuliwa hata kwa kurudisha nchini wataalamu wetu waliofanya kazi nje. tatizo hilo ni utamaduni wa rushwa, wizi, na ubadhirifu. watu kama Dr.Balali walifanya kazi kwa uadilifu mkubwa ktk mashirika ya kimataifa, mara waliporudi Tanzania wamejitumbukiza ktk rushwa na ubadhirifu wa kutisha.
..sasa pamoja na kulaumu kwamba wataalamu wetu wanaorudi toka nje wametuangusha, labda tuangalie ni mazingira gani ya ndani ya Tanzania yanasababisha tunaangushwa[tunaibiwa,tunahujumiwa] na kila mhusika anayepewa madaraka.
..vijana, wanawake, wazee,...kila anayepata uongozi Tanzania ya leo haichukui muda mrefu anatumbukia ktk mambo ya ufisadi. tuna tatizo kubwa sana Tanzania na kwa kweli linahitaji umakini na uzalendo wa hali ya juu kulitatua.
Nyumbu- said:Je TIDDO MHANDO wa BBC ndiye huyu anayedhalilishwa na akina Lowasa hapa TBC 1? Je si alifanya vizuri tu kule BBC, nini amepewa hapa mpaka amekuwa kama Zuzu? Sasa hivi TBC 1 hata kule DSTV inaonyesha ovyo tu, inakatakata mpaka aibu. Ukifungulia KBTV kwenye DSTV iko clear sana! Tatizo ni uroho na kuhemea misaada, vinginevyo Tido angekuwa na akili ni vyema astaafu, kuliko aibu hii anayo jitia kwa kulamba miguu ya kina Lowasa na wenzake.
Hivyo kutembea nje, kusoma nje, kufanya mashirika ya kimataifa is one, na kuwa na moyo wa uzalendo ni kingine....tusimpokee mtu kwa CV yake. Kama CV yake nzuri, aombe kazi pale BOT, akawasaidie kuplan uchumi upya, lakini sio kwenye siasa ambako unakaa kikao kimoja na wasanii kama akina Hadija Kopa, halafu utegemee kutumia PHD yako vizuri....
MPOKI MWambulukutu akionyesha vyetivyake
Sahara voice said:Jambo moja dhahiri ni kwamba wanadhani ukipitishwa kura za maoni CCM basi tayari wewe ni Mbunge,
Msomi yeyote mzuri mwenye dhamira safi kutoka ndani ya Moyo wake hawezi kugombea Ubunge kupitia CCM, kwa sababu huko ni kujipaka matope. Jambo moja dhahiri ni kwamba wanadhani ukipitishwa kura za maoni CCM basi tayari wewe ni Mbunge, hii maana yake ni kwamba wanautaka ubunge kwa maslahi yao kwanza.
Yes, Ni mtoto wa kwanza wa Balozi Emmanuel Mwambulukutu.Huyu ni mtoto wa yule Balozi Mwambulukutu au jina limefanana tu?
Kuna problem ya kasumba katika nchi yetu. Tunadhani kuwa, mtu akisoma nje ya nchi anaweza kuwa na manufaa zaidi kwetu kama kiongozi. Ni upotofu kudhani kuwa waliosoma nje ya nchi wamefundishwa jinsi ya kuongoza nchi zao wakiwa huko.
In fact, watu wengi walio nje ya nchi wanadhani kuwa, wana ufahamu zaidi ya walio ndani ya nchi (wajuaji zaidi) na hivyo wao ndio wanaostahili zaidi kuwa viongozi.
Kuna kasumba nyingine pia kuwa, kama mzazi au mlezi alikuwa kiongozi, basi ni lazima na rahisi kwa mwanae pia kuwa kiongozi mzuri. Nadhani mambo kama haya na mengine ndio yanayorudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu.
Mwache Mpoki apambane na wengine, athibitishe umahiri wake kiuongozi na aonyeshe uwezo wake wa kutambua na kutatua matatizo ya jamii anayotaka kuiwakilisha. Si vyema kuanza kufanya pre-qualifications za wagombea. Kwani nani amekuambia kuwa wagombea wengine hawana sifa za uongozi kuliko yeye?