kisarawe imejaa waswahili wengi watamchagua huyo mswahili mwenzao, wananchi hawataki mtu msomi msomi dizaini ya jafo, nakumbuka enzi ya ubunge (ludewa) alikuwepo Prof. Mwalyosi vs. Filikunjombe. Wakati profesa anawaelezea vitu vya kisomi sana, sijui mambo ya makaa ya mawe, chuma cha LIGANGA (wananchi sidhani kama walikuwa wanamuelewa, wakati filikunjombe yeye anatumia lugha nyepesi siku ya kura za maoni prof. akapigwa chini mpaka leo hana hamu. prof karudi zake kupiga chaki UDSM