Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 265
Baada ya ndugu yetu Dr. Ulimboka kutekwa na hatimaye kuteswa na wanaosadikika kuwa Wana usalama wa Jeshi la polisi, licha ya Dr. Ulimboka kumuomba ACP Ahmed Msangi Kumrudishia Simu na Wallet yake, hadi wa leo, hakuna yeyote aliyekamatwa kutokana na tukio hilo Mbaya zaidi, mshukiwa namba moja kapewa ulaji wa kuunda tume ya kuchunguza utekaji nyara huo.
Wana CCM waadilifu tunajiona mayatima ndani ya chama. Serikali yetu imekuwa ya wenda wazimu. Ni kama vile hatuna serikali, kwa maana hiyo, tunaomba ndugu yetu Mh. Kingwangallah kutusaidia tuweze kufanya maombi ya "Albadilr" ili wahusika wapata adhabu ya mola, kwani serikali haionyeshi ushirikiano wa kutenda haki. Mtashangaa masikini watatu wanabambikiziwa hii kesi mbaya.
Waislamu na Wakiristo, wazalendo wote tushirikianeni tutafuta njia mbadala ya kukomesha vitendo kama hivi ili hawa manyanga'au ndani ya polisi wapukutike mmoja baada ya mwingine. Wanalindana na Bunduki, sisi imani yetu ndio ulinzi wetu. Tuone kati ya Mungu (allah) na Bunduki nani ni mlinzi mkubwa
Wana CCM waadilifu tunajiona mayatima ndani ya chama. Serikali yetu imekuwa ya wenda wazimu. Ni kama vile hatuna serikali, kwa maana hiyo, tunaomba ndugu yetu Mh. Kingwangallah kutusaidia tuweze kufanya maombi ya "Albadilr" ili wahusika wapata adhabu ya mola, kwani serikali haionyeshi ushirikiano wa kutenda haki. Mtashangaa masikini watatu wanabambikiziwa hii kesi mbaya.
Waislamu na Wakiristo, wazalendo wote tushirikianeni tutafuta njia mbadala ya kukomesha vitendo kama hivi ili hawa manyanga'au ndani ya polisi wapukutike mmoja baada ya mwingine. Wanalindana na Bunduki, sisi imani yetu ndio ulinzi wetu. Tuone kati ya Mungu (allah) na Bunduki nani ni mlinzi mkubwa